• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Kaya 65,846 Sawa Na Asilia 99.93 Wilayani Kalambo sajiliwa kwenye zoezi la Sensa na makazi..

Posted on: August 29th, 2022

Halmashauri ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa imefanikiwa kuhesabu Kaya 65,846 sawa na asilimia 99.93 kati ya kaya 65 ,894 ambao walikisiwa kuhesabiwa tangu kuanza kwa zoezi la sensa na makazi Agosti 23/2022 huku wananchi waliopata fursa ya kuhesabiwa kwenye zoezi hilo wakiipongeza serikali kwa kuweka mazingira rafiki na wezeshi yaliyowezesha kuhesabiwa kwa haraka na kuendelea na shughuli zingine za ujenzi wa taifa.

Zoezi la sensa na makazi Lilianza kufanyika rasmi kitaifa Agosti 23/2022 ambapo kwa wilaya ya Kalambo zoezi hilo lilianzia katika makazi ya mkuu wa wilaya hiyo Tano Mwela ambaye mnamo majira ya saa sita usiku na dak 1 alihesabiwa kama raia namba moja wa wilaya hiyo na kufuatiwa na mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri hiyo Shafi Mpenda.

Hata hivyo tangu kuanza kwa zoezi hilo wananchi walionyesha mwitiko mkubwa kwa kujitokeza kuhesabiwa na kutoa ushirikiano kwa makarani wa zoezi hilo hatua iliyopelekea kumalizika haraka kwa zoezi hilo.

Awali akiongea baada ya kamati ya usalama ya wilaya hiyo kutembelea na kukagua maendeleo ya zoezi la sensa na makazi katika maeneo tofauti ya wilaya hiyo, Mkuu wa wilaya hiyo Tano Mwela , alisema zoezi hilo limekwenda vizuri na kufanikiwa kufikia malengo ya serikali.

‘’Wilaya yetu ya Kalambo tulikuwa na maoteo ya kuhesabu watu 65,894 na mpaka sasa tumefanikiwa kuhesabu kaya 65,846 sawa na asilimia 99.93 kwa hiyo tumefanikiwa kuhesabu watu wote kwa wilaya ya kalambo na kama kuna waliobakia basi ni wachache sana ambao tunaendelea kuwamalizia.’’Alisema Mwela.’’

Licha ya hilo alilisitiza wananchi kutoa ushirikiano wakati wa dodoso la majengo ambalo linatarajiwa kuanza kufanyika Rasmi Agosti 30/2022.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.