• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

MKUU WA WILAYA YA KALAMBO JULIETH BINYURA APIGA MALFUKU WAFUGAJI KUINGIZA MIFUGO KWENYE HIFADHI YA KALAMBO

Posted on: July 8th, 2019
Mkuu wa wilaya ya kalambo Julieth Binyura amepiga malfu wafugaji kuingiza mifugo yao kwenye msitu wa hifadhi ya kalambo Falls na kuwa atakae kamatwa atachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kupigwa faini kali na kusistiza wafugaji kupunguza mifugo yao kwa lengola kuondokana na migogoro isokuwa ya lazima.

Msitu wa hifadhi ya mazingira wa kalambo unaukubwa wa hekta arobaini na tatu elfu miatatu  therathini na nne na huku mpaka wake ukiwa ni kilometa mia moja arobaini na saba, licha ya msitu huo kuwa na wanyama wengi ikiwemo tembo bado kumekuwa na changamoto ya  wafugaji kuingiza mifugo kinyemera na kuharibu uoto wa asili.

Hali  hiyo  imepelekea  mkuu  wa  wilaya  hiyo  Julieth Binyura  kuingilia  kati  swala hilo na  kuitisha  kikao  cha pamoja  kilicho  jumuisha  wafugaji, madiwani  pamoja na  wakuu wa idara  wilayani humo lengo likiwa ni kutoa elimu kwa wafugaji juu ya umuhimu wa kuhifadhi   mazingira.

‘’wafugaji  tunaomba msiingie kwenye  msitu  wa  kalambo  kwa  kuingiza  mifugo  yenu  lakini  mnaweza kutumia  maeneo  yenu  ambayo mmeyanunua  na kama mifugo  ni mingi punguzeni  kulingana na kiwango  cha  mifugo mlio nayo’’alisema  Binyura.

Alisema wameanzisha  oparasheni kwenye  msitu  huo  ya kutambua  mifugo  yote  kwani kuna  baadhi  ya  wafugaji  wamekuwa  si  wamenifu  kutokana na  kuingiza mifugo  mingi  kinyume  na utaratibu.

Meneja wa wakala wa huduma za uhifadhi  misitu wilayani humo Joseph Chezue, amesema kwa  mtu  atakae bainika kuingiza mifugo kwenye hifadhi hiyo atapigwa faini kwa mujibu wa sheria za nchi.

‘’Sisi  huwa  tunaongozwa  na  sheria za nchi , ambapo  kwa  mfugo mmoja  huwa  tunatoza kiasi  cha  shilling  elfu  hamsini  hivyo  ukizidisha  na ulionayo  unapata  hesabu yote’’.alisema chezue.

Awali akisoma  taarifa  fupi mmoja  wa  wafugaji  wilayani  humo chapa  marekana amesema  serikali haina  budi kuwapatia  maeneo  ya malisho.

Alisema   endapo  serikali  ikitoa  vitambulisho  vya  maalufu  kwa  wafugaji  kama utambuzi  ili  wafugaji  wapya  wanapo ingia  iwe  inawasaidia  kuwatambua  kwa  urahis  zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.