• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Wilayani Kalambo Yaanzisha Utaratibu Wa Kuwatambua Wastaafu.

Posted on: October 3rd, 2019


Uongozi wa serikali wilayani Kalambo mkoa wa Rukwa umeanzisha utaratibu wa kuwatambua wastaafu wa utumishi wa umma ili kuwasaidia kupata haki zao na kujua taarifa za utumishi wao kwa ajili ya mahitaji ya lazima yanayojitokeza kwenye ofisi za umma wilayani hapa siku hadi siku.

Katibu tawala wa wilaya ya Kalambo, Frank Sichalwe, amesema kikao cha kwanza cha kuchagua viongozi wa umoja wa wastaafu wa utumishi wa umma wilayani humo kimebaini dosari za kiutendaji zinazokwamisha upatikanaji wa haki na stahiki zao kwa wakati.

Aidha ameelezea umuhimu wa kuunda umoja wa wastaafu wa utumishi wa umma kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika maisha yao mara baada ya kukoma muda wa utumishi wa umma.

Wakitoa hisia zao kupitia kikao kilicho jumuisha watumishi wastaafu wilayani Kalambo wameelezea jinsi wanavyokabiliwa na changamoto ya kupata haki na stahili zao ikiwa ni pamoja na kukabiliwa na vitendo vya kuombwa rushwa au kutapeliwa haki na stahili zao.

‘’tunaimani umoja huu utatusaidia kuondokana na vitendo vya utapeli kwani  baadhi yetu tumetapeliwa mara kadhaa na kuupongeza uongozi wa wilaya hiyo  kwa  kuunga mkono juhudi  zao’’.Walisema wastaafu hao.

Afisa utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo Amandus Mtani amewataka wastaafu wote kufika kwenye ofisi yake pindi kunapotokea changamoto yoyote  kwa  lengo  la  kuitatua  kwa wakati.

‘’kimsingi wazee ni hazina ya jamii yoyote duniani na kwamba ni kundi muhimu linalo beba tunu na utamaduni uliotukuka kwa ajili ya maendeleo ya nchi hususani tanzania. hivyo Halmashauri itaendelea kutoa huduma kwa jamii na watumishi wote wakiwamo wastaafu.’’alisema mtani.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.