• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Yaongeza Vijiji 13 Kupatiwa Umeme’’kalambo.

Posted on: September 20th, 2019


Shirika la umeme TANESCO wilayani kalambo Mkoani Rukwa limewakikishia  wananchi wa vijiji vilivyopo katika kata za lyowa na Matai kuwa litawapatia huduma ya umeme ndani ya mwaka  huu wa 2019 kutokana na serikali kuongeza vijiji 13 kati ya 42 vilivyokuwa vimepatiwa  huduma  hiyo katika awamu ya tatu.    

Hatua hiyo imekuja kufuatia malalamiko yaliyojitokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Santamaria ambapo wananchi wa kijiji cha Kisungamile kilichopo kata ya Matai wilayani kalambo mkoani hapa, walililalamikia shirika hilo kutowapelekea huduma husika licha ya vijiji vingine kuwa na umeme kwa muda mrefu sasa.

Wamesema licha ya kijiji hicho kuwa ndani ya mamlaka ya Mji mdogo wa Matai ambao ndio makao makuu ya Halmashauri  ya Wilaya ya Kalambo, hakina umeme na wakati huo vijiji vingine vinavyo unda mji huo vikiendelea kunufaika na huduma hiyo  na kuiomba serikali  kupitia  shirika la umeme TANESCO kuwangalia kwa jicho la tatu.

‘’kijiji chetu ni miongoni mwa vijiji  vinavyounda mji mdogo wa Matai lakini tunashangaa kuona  vijiji  vingine vimepatiwa  tayari  huduma  ya umeme  lakini sisi bado mpaka. Tunaliomba shirika  la umeme litungalie kwa jicho la tatu ili nasisi tuweze kunufaika  na huduma hii muhimu.’’Walisema wananchi hao.

Meneja wa shirika la umeme TANESCO wilayani humo Japhet Malongo amesema serikali imeongeza  vijiji 13 ambavyo  vitapatiwa huduma  hiyo  katika awamu inayoendelea hivi sasa  na kijiji cha Kisungamile kikiwa miongoni na kuwataka  wananchi kuendelea kuwa na subira  wakati utekelezaji ukiendelea. 

Mkuu wa wilaya hiyo Julieth Binyura, amewataka wananchi kuendelea kulipa fedha ya huduma kiasi cha shilingi elfu ishirini na saba  na kusema lengo  la  serikali  ni kuhakikisha kila kijiji kinapata  umeme.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.