• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Takukuru Wilayani Kalambo Yajipanga Kuthibiti Mianya Ya Rushwa Kwa Vitendo.

Posted on: October 10th, 2019

Tasisi ya kuzuia na kupambana na RushwaTAKUKURU Wilayani Kalambo mkoani Rukwa imesema haitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria wasimamizi wa vituo vya kupigia kura pamoja na wagombea ambao watahusika na tuhuma za kupokea ama kutoa rushwa.

Hayo yamebainishwa na mkuu wa tasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa  Takukuru wilayaani Kalambo mkoani Rukwa Lupakisyo Mwakyolile wakati wa zoezi la uapishaji wa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura na kuwataka kuwa waadilifu  wakati  wa uendeshwaji wa zoezi hilo.

Amesema uchaguzi sio suala la mzaha na kwamba maendelea ya nchi hayawezi kupatikana bila viongozi waadilifu wenye uchungu na Taifa hili. Hivyo Kamanda huyo amewataka wananchi woteWilayani Kalambo kushikamana  Pamoja ili uchaguzi wa Serikali za mitaa wa tarehe 24 Novemba uwe huru na wa haki.

‘’Twendeni tukafanye kazi kwa uadilifu na kila mmoja wetu kwa nafasi yake akatimize wajibu wake. Kwa upande wetu sisi TAKUKURU hatutasita kumchukulia hatua mtu awaye yote atakayebainika kushawishi,kutoa au kupokea rushwa.’’Amesisiza Mwakyolile.

Kwa upande wake Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Kalambo Erick Kayombo, amewataka wasimamizi wasaidizi ngazi zote pamoja na waandikishaji kutenda haki wakati wote wa maandalizi mpaka ukamilifu wa zoezi la kupiga kura.

‘’Tunaenda kusimamia kwa makini shughuli zote uchaguzi.Kumbukeni ndugu zangu, tukifanya vibaya kwenye uchaguzi wa Serikali mitaa tutakuwa tumevuruga na uchaguzi mkuu wa mwakani.Hivyo zingatieni sheria,taratibu na kanuni zinazo tawala suala zima la uchaguzi.’’Ameeleza Erick Kayombo Msimamizi wa uchaguzi jimbo la kalambo wakati  wa kuwapicha wasimamizi  wa  vituo vya kupigia kura.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.