• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wananchi Halmashauri ya Kalambo wapendekeza kufikia 2050 kuwe na vituo vya afya kila kijiji.

Posted on: August 2nd, 2024

Wananchi wilayani Kalambo mkoani Rukwa kupitia kikao cha ushauri cha wilaya wamesema wanatamani katika dira ya mwaka 2025 hadi 2050 serikali iweke mkazo katika sekta ya afya kwa kuhakikisha kila kijiji kinakuwa na kituo cha afya ikiwa ni pamoja na kila mtanzania kuwa na bima ya afya.

Wameyasema hayo kupitia kikao cha ushauri cha wilaya kilicho kuwa na lengo la kujadiri dira ya mwaka 2025 hadi 2050 na kuongozwa na katibu tawala wilayani humo Servin Ndumbalo na kusema wangetamani katika dira ya mwaka 2025 hadi 2050 sekta ya elimu ipewe kipaumbele ikiwemo kuongezwa kwa walimu ili kurahisisha swala la ujifunzaji na ufundishaji.

Richa ya hilo wamependekeza katika dira ya mwaka 2025 hadi 2050 katika sekta ya uvuvi na mifugo  serikali kuweka udhibiti wa suala la ufugaji holela wa mifugo ikiwa ni pamoja na serikali kuweka Ruzuku kwenye pembejeo za kilimo ili kuwezesha wakulima kulima na kuzalisha kwa tija.

‘’Katika Sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi, matamanio yetu kufikia mwaka 2050 ni kuona serikali ikidhibiti suala la ufugaji holela, idadi ya mifugo idhibitiwe yaani kuwe na idadi ya mifugo yenye tija, wakulima wapate mbolea ya RUZUKU Kwa bei nafuu inayo wawezesha wakulima walime na wazalishe kwa ubora na wingi, pembejeo za kilimo kuboreshwa, wakulima wapewe elimu kuhusiana na shughuri nzima ya kilimo, sekta ya kilimo iwe ya kwanza kuingiza pato la Taifa, wakulima wapewe elimu juu ya urutubishaji wa ardhi mfano kilimo cha soya’’ walisema.

Richa ya hilo katika Sekta ya maji,wamesema matamanio yao kufikia mwaka 2050 wameomba serikali ifikishe huduma za maji kwa vijiji vyote vinavyo zunguka wilaya ya kalambo,pamoja na  kuhamasisha jamii kutunza vyanzo vya maji.

Katika Sekta ya teknolijia na mawasiliano (mawasiliano, miundo mbinu na umeme), wamesema kufikia mwaka 2025/2050 miundo mbinu ya barabara inatakiwa iboreshwe zaidi, kwa usalama wa usafiri na usafirishaji, barabara zenye ubora na zinazo dumu muda mrefu zijengwe kwa utaalamu zaidi.

 ‘’Pia katika suala la tehama na mawasiliano kufika 2050 huduma za intaneti ziweze kufika hata vijijini ili kurahisisha ufanyaji kazi, mawasiliano yafike kila mahali au katika kila eneo na ya mfikie kila mmoja mfano katika maeneo ya hifadhi mawasiliano yanatakiwa yawepo, katika suala la teknolijia elimu juu ya matumizi mazuri ya teknolijia’’ walisema

Aidha katika Sekta ya uchumi (Biashara na uwekezaji) wameomba kufikia mwaka 2025/2050 suala la uwekezaji lipewe kipaumbele kwa kuwapa wananchi nafasi ya kuwekeza, elimu inayo husiana na uwekezaji itolewe kwa wanachi, kuwepo kwa viwanda vya usindikaji mfano mazao yanayo tokana na mimea na yale yanayo tokana na mifugo, viwanda vijengwe katika maeneo husika, kundi la wanawake na vijana badala ya kupewa tu mikopo (pesa) lakini pia wapewe na vifaa vitakavyo wawezesha kufanya

Wamesema katika Sekta ya Ardhi, maliasili na mazingira, matamanio yao wangetamani kufikia mwaka 2050 aridhi ipimwe kwa vipimo rasmi au maalumu Kwa ajili ya kusaidia katika ukusanyaji wa kodi, kuelimisha wananchi juu ya matumizi ya nishati safi, pia bei ya gesi inatakiwa ipunguzwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.