• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wananchi Wilayani Nkasi Wamempongeza Rais Magufuli Kwa Kuwajengea Kituo Cha Afya.

Posted on: October 9th, 2019


Hali ya taharuki na furaha imeripuka kwa wananchi wa mji wa Namanyere na viunga vyake baada ya Serikali kutoa fedha kiasi cha shilingi milioni 400 kwa ajili ya ujezi wa kituo cha afya cha Nkomolo na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya mungaano waTanzania  Dkt John Pombe Magufuli kwa kuwaondolea adha hiyo.

Wakiongea baada ya Rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania John Pombe magufuli kuzindua  kituo hicho cha afya,wamesema wanauhakika kituo hicho kitawasaidia kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wakati wa kutafuta huduma za matibabu kama ilivyokuwa hapo awali.

Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia,wazee na watoto Umi Mwalimu, amesema kituo hicho kimekamilika na kwamba mpaka sasa kinazalisha akina mama wapatao140.

 ‘’Mheshimiwa Rais, baada ya kufunguliwa kituo cha afya cha Nkomolo hapa mjini Namanyere, akina mama wajawazito wamehamasika kujifungulia Hospitalini ikiwa ni ongezeko chanya kutoka asilimia 72 hadi 96 kwa Wilaya nzima’’alisema waziri  wa afya.

‘’Tena tumefarijiwa sana na ujio wa Madaktari kutoka Italia wanaotoa huduma za upasuaji kituoni Nkomolo ambapo hadi leo, wamefanikiwa kufanya upasuaji kwa wajawazito wenye uchungu gandamizi wapatao 166 bila kifo hata kimoja.Kwa hali hiyo Mheshimiwa Rais, nawataka Madaktari wetu wazalendo kuiga mfano huo.’’Amehimiza Umi Mwalimu.

 ‘’Mheshimiwa Rais, niliwahi kukuletea salamu kutoka kwa wananchi wa Wampembe  wanaotembea umbali wa kilomita 130 kutoka hapa Namanyere waliokuwa wanakupongeza kwa kuwajengea kituocha afya cha kisasa’’ amesisitiza Waziri  Jafo.

‘’Lakini pia sisi wasaidizi wako pamoja na watanzania wote wenye mapenzi mema wakiwemo wana Nkasi tunaendelea kufarijiwa na dhamira yako njema kimaendeleo katika Nyanja zote kwani ni mwaka jana pekee umejenga Hospitali ya Wilaya ya hapa Namanyere kwa shilingi bilioni 1.5 ikiwa ni miongoni mwa Hospitali 67 nchi nzima. Tena hujaishia hapo hata mwaka huu Serikali yako imetenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali 25 za Wilaya nchi nzima katika mwaka wa fedha 2019/20.’’Anafurahi na kupongeza Mheshimiwa Jafo.

Awali akiongea na hadhara ya wananchi wilayani Nkasi, Mh.Rais Wa jamhuri ya mungano Wa Tanzania John Pombe  Magufuli, amesema Serikali itaendelea kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuimarisha miundo mbinu na kuboresha huduma za afya.

‘’Tunaendelea kuboresha huduma za afya kwa kasi. Hivi sasa tumetenga shilingi bilioni 272 kwa ajili ya kununua madawa nchi nzima ikiwemo na Wilaya ya Nkasi na vituo vyake vyote vya kutolea huduma za afya’’ Amlisema Rais Magufuli.

‘’Pia nachukua fursa hii kuwapongeza Madaktari kutoka Italia waliofika hapa Namanyere kutoa huduma ya upasuaji kwa kushirikiana na Madaktari wetu. Nipende tena kuwapongeza Madaktari na Manesi wazalendo na kwamba endeleeni kujituma na hakikisheni mnaondoa kero kwa wagonjwa’’Amesisitiza Rais Magufuli.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.