• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Afariki Dunia Kwa Ajari Ya Pikipiki Ya Wizi.

Posted on: March 18th, 2020


Mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Ninga kata ya Katazi Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa amefariki dunia baada ya kupata ajari ya pikiki aliyokuwa ameipora katika eneo la Miangalua tarafa ya Laela.

Kamanda wa polisi mkoani Rukwa Justene Masejo amesema kuwa tukio hilo limetokea tarehe 17/03/2020 majira ya saa 08:30 Usiku huko kijiji cha Kamsamba kata ya Miangalua Tarafa ya Laela, Wilaya ya Laela, Mkoa wa Rukwa.

Amesema Kijana  mwenye umri wa  miaka 42, Mfanyabiashara, Mkazi wa  Miangalua, Aitwaye Joseph Kachingwe pikipiki aina ya MC 617 CCG Kinglion, yenye thamani ya Tshs. 2,200,000/=  na pesa taslimu Tshs.1,500,000/= na watu wawili ambao mmoja mpaka sasa hajafahamika.

Hata hivyo watuhumiwa hao baada ya kupora pikipiki na hizo fedha waliendesha kwa mwendo kasi na ndipo walipopata ajali na kuanguka na pikipiki hiyo ambapo mmojawapo alifariki dunia wakati anapatiwa matibabu katika kituo cha afya Laela na marehemu alijulikana kwa

jina la Steven Kalunga, miaka 29, Mkulima wa Kijiji cha Ninga  Wilaya ya Kalambo.

Mhanga aliviziwa katikati ya kijiji cha Miangalua na Kamsamba barabarani kwa nyaya za umeme kisha kumpora pikipiki.

Pikipiki iliyoibiwa imepatikana na juhudi za kumtafuta mtuhumiwa zinaendelea.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa Kamishna Msaidizi wa Polisi Justine Majura Masejo anatoa rai kwa wananchi wote kuwa kila mmoja awe mlinzi wa mwenzie na kuweza kudhibiti matukio ya kihalifu pamoja na wahalifu. 

Aidha, anawashukuru wananchi wa kijiji cha Miangalua kwa jitihada walizozifanya kuhakikisha kuwa watuhumiwa hao wanakamatwa ingawa mmoja alifanikiwa kukimbia na juhudi za kumtafuta zinaendelea.

Halikadhalika anawataka wananchi kwa kushirikiana na wenyeviti wa mitaa pamoja na vikundi vya ulinzi shirikishi waweze kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kutoa taarifa zinazohusiana na kuwafichua wahalifu.

 

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.