• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

TAMASHA LA KUTANGAZA UTALII WA NDANI KALAMBO LA ANDALIWA.

Posted on: January 15th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa kushirikiana na wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) Imeandaa tamasha la kutangaza utalii wa ndani linalofahamika kama KALAMBO FOREST UTALII FESTIVAL ambalo litafanyika tarehe 14 -2-2026 katika eneo la maanguko ya maji ya mto Kalambo kwa kushirikisha mashindano ya Baiskeli, kupanda ngazi ikiwa ni pamoja na kukimbia mbio fupi na ndefu.

 Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Kalambo ambae pia ni mkuu wa Divishen ya kilimo ,mifugo na uvuvi Ndugu Nicholas Mrango, amesema mashindano hayo yanalenga kutangaza utalii wa ndani ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za Mhe. Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kutangaza utalii wa ndani ikiwemo maanguko ya maji ya mto Kalambo ambayo ni ya pili kwa urefu Barani Afrika kwa mita 235.

Aidha amewataka watumishi wa umma wilayani humo kujitokeza kwa wingi kushiriki mashindano hayo ambayo yatawezesha kuimarisha afya ikiwa ni pamoja kujifunza mambo mbalimbali kuhusu utalii.

Kwa upande wake mratibu wa tamasha hilo kutoka wakala wa huduma za mistu Tanzania (TFS) ndugu Nelson Machibya amebainisha kuwa Tamasha hilo litashirikisha wananchi, watumishi wa umma kutoka taasisi mbalimbali za serikali na kwamba washiriki watapatiwa medani maalumu kutoka wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS).

Kwa upande wake kaimu mkuu wa kitengo cha utamaduni,sanaa na michezo wilayani humo ndugu Amos Mmewa, amesema tamasha hilo litahusisha ngoma za asilia pamoja na michezo mbalimbali na kwamba washiriki wote watapatiwa  medani maalamu na kuvitaka vikundi mbalimbali vya sanaa na michezo kujitokeza kushiriki mashindano hayo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • TAMASHA LA KUTANGAZA UTALII WA NDANI KALAMBO LA ANDALIWA.

    January 15, 2026
  • KALAMBO YAPOKEA TREKTA NDOGO ZA MKONO 11 KUNUFASHA WAKULIMA.

    January 13, 2026
  • DC KALAMBO AKABIDHI PIKIPIKI 3 KWA MAAFISA MIFUGO

    January 09, 2026
  • DC KALAMBO AKABIDHI PIKIPIKI 3 KWA MAAFISA MIFUGO

    January 09, 2026
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.