• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

ALAT YATAKA WAKURUGENZI KUOPNGEZA KASI YA MAKUSANYO

Posted on: April 29th, 2024

Mwenyekiti wa ALAT mkoani Rukwa Kalolo Ntila amewataka wakurugenzi kuzitumia vizuri fedha zinazotolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo ili ziweze kuleta tija katika jamii na kusisitiza kuwekwa utaratibu maalum utakao wezesha kuanzishwa miradi itakayo jengwa kwa kutumia fedha za mapato ya ndani.

Ameyasema hayo kupitia kikao cha ALAT kilichofanyika kwa ngazi ya mkoa katika halmashauri ya kalambo mkoani Rukwa na kuwataka wakurugenzi mkoani humo kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato ikiwemo kuanzisha vyanzo vipya vya mapato ili kufikia malengo ya serikali katika ukamilishaji wa miradi ya maendeleo.

 Mapema wakiongea kupitia kikao hicho mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Kalambo Shafi Mpenda amesema katika mwaka wa fedha 2023/2024 hadi kufikia tarehe 15/4/2024 halmashauri ilipokea fedha  kiasi cha shilingi 5,780,828,450,63 kutoka serikali kuu kupitia fedha za ndani na nje kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo  ikiwemo miradi ya afya na utawala .

Aidha amesema hadi kufikia mwezi machi 2024 pekee halmashauri imetumia kiasi cha Tshs 133,159,359,305 .00 kwenye miradi ya maendeleo na kufanya jumla ya matumizi kuanzia julai 2023 hadi machi 2024  kuwa Tshs 4,959,853,548,74 sawa na asilimia 46

kwa upande wake kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya  manispaa ya Sumbawanga   KulaNGA Kanyanga ,amesema  halmashauri ya manispaa hiyo imefanikiwa kusambaza madawa na vifaa tiba katika zahanati 28 vituo vya afya na hospitali ya wilaya ikiwa ni pamoja na kukamilisha miundombinu mipya ya kutolea huduma katika shule za msingi na sekondari.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.