• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Askofu mwaipopo Awataka Watanzania Kumchagua Rais Magufuli Katika Uchaguzi Ujao

Posted on: July 8th, 2020


ASKOFU wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Ziwa Tanganyika, Ambele Mwaipopo amewaomba wananchi wa mikoa ya Rukwa na Katavi, kumpigia kura za Kishindo Rais Dkt. John Magufuli katika uchaguzi mkuu ujao ili ashinde kipindi kingine cha miaka mitano ambacho kitamuwezesha kukamilisha miradi ya kimkakati aliyoianzisha tangu aingie madarakani.

Akizungumza na vyombo vya habari hivi karibunii,Askofu Mwaipopo alisema yeye binafsi amelazimika kutoa ombi hilo kutokana na kuvutiwa na utendaji kazi wa Rais Magufuli pamoja na kumshirikisha Mwenyezi Mungu katika uongozi wake, kitendo kinacho sababisha afanikishe maono yake pamoja kuiwezesha nchi kupiga hatua za maendeleo.

Alisema kuwa pia kitendo cha kufanikiwa kutekeleza miradi hiyo mikubwa ndiyo iliyosababisha mpaka Benki ya dunia kuamua kuitangaza nchi ya Tanzania kuwa imeingia katika kipato cha kati hali ambayo Watanzania watapata maendeleo makubwa kupitia miradi hiyo.

Askofu huyo alisema kuwa lengo lilikuwa nchi iingie katika uchumi wa kati mwaka 2025 lakini kwa ajabu na muujiza wa Mwenyezi Mungu imechukua miaka minne na nusu kufikia lengo badala ya miaka kumi kama ilivyotarajiwa hapo awali inaonekana mafanikio hayo yamefikiwa kwakuwa Mungu ametaka kumtunukia zawadi hii rais Magufuli akiwa bado madarakani na si baada ya kuondoka katika madarakani.

‘’Tunapoelekea katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba, tusiache na sisi mioyo yetu kumdondokea Rais Dkt. Magufuli kwa kumpigia kura za kishindo ili aendelee kutuongoza kwa kipindi kingine,na kumpigia kura itakuwa ni sehemeu ya shukrani zetu Watanzania kwa Mungu kutujalia Rais anaye tudondoshea moyo wake kwa kutupenda’’ alisema askofu Mwaipopo.

Alisema kuwa vile vile tunapaswa kumchagulia Wabunge na Madiwani wazalendo,wachapakazi,waadilifu na waaminifu watakao tanguliza maslahi ya taifa na si maslahi yao binafsi ili mwisho wa yote, nchi iwe kinara cha mafanikio na kuendelea kuwa mfano wa kuigwa.

Hata hivyo ametumia fusra hiyo kuwapongeza Makamu wa Rais Samia Suluhu,Waziri mkuu Kassim Majaliwa,mawaziri wabunge, madiwani na wananchi wote kwa kufanya kazi kwa bidii huku wakipewa ari na kauli mbiu ya hapa kazi tu hatua iliyosababisha nchi kuingia katika uchumi wa kati.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.