• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Dc Binyura Ataka Wageni Kutoka Nchi Jilani Kuimbishwa Wimbo Wa Taifa la Tanzania .

Posted on: October 12th, 2019


Imeelezwa kuwa uchaguzi huru na wa haki ndiyo nyenzo kuu ya sasa kwaa jili ya kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati unaoendeshwa na viwanda, na kwamba lengo hilo haliwezi kufikiwa endapo Watanzania wenyewe watashindwa kuchagua viongozi wazalendo,hodari na waadilifu wasiobagua watu kwa misingi ya dini, rangi na itikadi za kisiasa.

Akiwa katika ziara ya ukaguzi wa vituo vya kuandikisha wapiga kura katika kata za Mpombwe, Kisumba na Katete ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika 24 Novemba 2019, Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Julieth Binyura amewataka maafisa waandikishaji, mawakala na wananchi wote kuhakikisha wanaitendea haki nchi kwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuwabaini raia wa kigeni wasishiriki uchaguzi huo.

Amesema Mawakala wa vyama vya siasa wanalojukumu la kuwasaidia waandikishaji kuwatambua wageni ili wasijiandikishe kwenye daftali la wapiga kura kwani hawana haki hiyo na kwamba wakimtilia shaka mtu yeyote watumie mbinu mbadala za uchunguzi zikiwemo Kiswahili anachoongea,

‘’ tumieni njia mbadara kuwatambua wageni wanao toka nchi jilani  kwa kuwataka kuimba wimbo wa Taifa la Tanzania pia mawakala  wa vyama  vya siasa kuweni makini na msichukue majina ya wapiga kura wanaoandikishwa lengo likiwa ni kuepuka kutawanya nyaraka hizo suala ambalo litapelekea kubatilisha uchaguzi hapo baadaye’’alisisitiza Binyura.

Naye Kamanda wa TAKUKURU Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa  Lupakisyo Mwakyolile amewataaka wananchi kutoa taarifa  kwenye vyombo husika pindi kunapotokea  viaashiria vya rushwa kwenye maeneo yao husika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.