• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Dc Binyura Awagiza Maafisa Elimu Kuanzisha Mashamba Darasa

Posted on: November 1st, 2019


Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Julieth Binyura amewagiza maafisa elimu wa shule za msingi na sekondari wilayani humo kuanzisha mashaba darasa ya kilimo na kuhakikisha wanafunzi wote wanapata chakula cha mchana ikiwa ni jitihada za kutokomeza hali ya udumavu ambayo katika  mkoa ni asilimia  47.9.

akiongea na kamati za lishe wilayani humo mkuu wa wilaya hiyo Julieth Binyura ,amesema lengo la serikali ni kuhakikisha hali ya udumavu na utapiamlo hususani kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano unatokomea.

‘’tatizo la udumavu na utapia mlo ni tatizo linalo athiri ukuwaji ubongo na afya ya watoto,takwimu za kitaifa zinaonesha mkoa wa Rukwa unaongoza kwa tatizo la udumavu na utapia mlo hii inajumuisha Halmashauri ya Kalambo, katika kukabiliana na tatizo hili, idara zote ni muhimu zikashirikiana  kutoa  elimu  kwa  wananchi juu ya umuhimu wa kula vyakula bora.’’alisema Binyura.

Alisema kwa ujumla lishe duni na ulaji wa vyakula vya aina moja ni miongoni mwa sababu zinazo sababisha udumavu na utapia mlo kwa  watoto.

‘’Ili jamii iweze kuondokana na tatizo la udumavu na utapia mlo ni lazima ihamasishwe kwa kuzingatia mpangilio sahihi  wa lishe bora ikiwa ni pamoja na  kuepuka ulaji wa vyakula vya aina moja ‘’alisema Binyura.

Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Nicholaus Mlango, amesema kwa mwaka 2019/2020 Halmashauri imefanikiwa  kutenga fedha kiasi cha shilingi milioni 60 ikiwa ni utekelezaji wa agizo la waziri wa nchi ofisi ya rais tamisemi la kutenga fedha kiasi cha shilingi elfumoja kwa kila mtoto mwenye hali ya udumavu.

‘’elimu ya uzalishaji wa mbogamboga na matunda kama beetroot{viazi vyekundu ,viazi lishe,butter nut ,tango,na mahindi ya njano ni muhimu wananchi wakahamasishwa kuvilima kwa ajili  ya manufaa yao ‘’alisema Mlango.

Afisa elimu msingi wilayani humo Rose Mganga ,amesema kwa kutambua umuhimu wa swala hilo wameanzisha mashamba darasa ya matunda na  mbogamboga  katika shule  za msingi na sekondari.

‘’tumeanzisha mashamba  ya matunda  ya Mapapai na mbogamboga ,ambazo ni mchicha na chines ,na pia tunalima shamba la alizeti ,hivyo tunakamua mafuta yanayotumika kwa kupikia ‘’alisema Mganga.

Dani Hinjo kutoka  shirika lisilo la  kiserikali  la advancent for sustainable community {ASCO}amesema  wanaendelea  kutoa elimu juu  ya  umuhimu  wa lishe hususani  kwa akina mama  wajawazito na makundi  ya vijana.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.