• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

TAARIFA ZA HIVI PUNDE .Dc Binyura Aviagiza Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama Kuchunguza Makosa Ya Ukatili Wa Kijinsia.

Posted on: August 6th, 2019


mkuu wa wilaya kalambo mkoani rukwa, Julieth Binyura ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo kuchunguza kwa umakini tuhuma za makosa ya ukatili wa kijinsia na mila potofu ili kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya jamii.

Binyura alitoaa agizo hilo wakati wa utambulisho wa mradi wa kupinga mila potofu na ukatili wa kijinsia-sucoda- wilayani kalambo ambapo alisema vitendo hivyo vinakwamisha juhudi za wananchi kushirikiki kikamilifu katika shughuli za maendeleo

Alisema makosa ya ukatili wa kijinsia yanachangia kwa kiasi kikubwa kuleta janga la watoto wa mitaani na ongezeko la makosa ya jinai pia mambukizi ya ukimwi kwa sababu ya baadhi ya wahanga kubainika  kuambukizwa magonjwa  hayo.

‘’mfano kwa mwaka  2019 jumla  ya kesi 19 kwa kipindi  cha mwezi janual hadi julay 2019 mchanganuo wake kama  ifuatavyo  kubaka kesi 3,mimba kwa  wanagunzi  kesi 3,shambulio la kudhuru mwili kesi 7,kujeruhi kesi 3,na kutelekeza familia kesi 2.’’alisema binyuara.

Aidha alilitaka jeshi  la polisi  kupitia  dawati  la kijinsia kushirikiana na taasisi hizo katika   kukabiliana na majanga ya ukatili wa kijinsia kwa kutoa  elimu sitahiki kwa jamii kwa  lengo  la kuifanya  jamii yote kupata elimu na uelewa wa pamoja juu ya vitendo hivyo.

Mkurugenzi wa asasi inayojihusisha na utatuzi wa vikwazo vya maendeleo ya jamii-sucoda- ya mjini sumbawanga mkoani rukwa,samwel mwazyunga alisema mradi huo utaendeshwa katika kata nne za wilaya ya kalambo ili ili kukabiliana na changamoto za mila potofu.

‘’dhamira ya asasi yetu ni  kuleta maendeleo endelevu katika jamii kwa njia ya ushirikishwaji wa wanajamii ili kuongeza uelewa katika maswala ya  afya na mapambano ya dhidi ya ukatili wa kijinsia ,kukuza na haki za wanawake na watoto ,elimu ya lishe bora dhidi ya ukatili wa kinsia ,kukuza haki za wanawake na watoto ,elimu ya lishe bora utunzaji wa mazingira ,kilimo na ufugaji bora wa kisasa wa nyuki na mifugo mingine.’’alisema mwazyunga.

Mkurugezi mtendaji wa halmashauri hiyo msongera palela  alisema mradi huo utasaidia  kwa kutokomeza  matukio  ya  ukatili  wa  kijinsia hususani katika maeneo ya vijiji na kuwataka viongozi wa miradi hiyo kushirikina na viongozi wa serikali za vijiji katika  kuwapatia  elimu  kwa lengo la  kuwafanya  kuwa  mabarozi kwenye  maeneo  yao  husika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.