• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

DED kalambo Akelwa Na Mila Za Wanawake Kupakwa Unga Kichwani Pindi Wanapokuwa Wamepewa Ujauzito.

Posted on: August 7th, 2019


Mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya wilaya ya kalambo Mkoani Rukwa Msongera Palela amezitaka Asasi zinazotekeleza miradi mbalimbali wilayani humo kukemea na kupinga mila potofu za wanawake kupakwa unga kichwani na kuwekewa sherehe kubwa pindi wanapokuwa wamepewa ujauzito kwa madai ya kuwa ni mashujaa.

Msongera  ameyasema  hayo wakati  wa uzinduzi wa mradi wa ukatili wa  kijinsia unaotekelezwa na Asasi ya Sucoda,ambapo amesema baadhi ya mira wilayani humo zimekuwa zikiendekezwa na wananchi  husani kwenye maeneo ya vijijini bila  kujua athari zake.

Amesema kitendo cha wanawake kupakwa unga kichjwani pindi wapatapo ujauzito ni kitendo cha kibaya kwani kinahamasisha mimba za utotoni .

‘’anapopata ujauzito anashangiliwa kuwa yeye ni shujaa, sasa mira hizi ni potofu na ukizitazama mila kama hizi utakuta zinaendekeza mimba za utotoni ‘’alisema Msongera.

Amesema licha ya hilo mila hizo zimekuwa zikipelekea kujitokeza kwa vitendo vya utoro mashuleni kitu  ambacho ni hatari kwa wanafunzi kuendelea na masomo hususani wa kike.

Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Daudi Sichone,amesema asasi zote hazinabudi kuungana na viongozi  wa serikali za vijiji kwa kutoa mafuzo ambayo yatasaidia wao kuwaelimisha wananchi wao pindi wanakuwa  kwenye mikutano ya hadhara.

‘’hatuwezi kurudi nyuma kimsisingi sisi kama halmashauri ya wilaya tuna jukumu la kuwasaidia  wananchi kuondokana na chagamoto zinazowakabili.’’alisema sichone.

Vastina Valeli mwezeshaji wa mafunzo  ya ukatili  wa  kijinsia  amesema lengo ni  kuhakikisha matukio ya ukatili wa kijinsia yanatokomezwa na kusaidia kuwajengea uwezo wakuu wa idara na watumishi wengine.

 Mkuu wa wilaya ya kalambo Julieth Binyura amewataka wananchi kushirikina na dawati la ukatili wa kinsia  katika kutoa taarifa sahihi juu ya uwepo wa matukio hayo ambayo yamekuwa yakikwamisha maendeleo  katika  jamii  zao husika

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.