• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Halmashauri Ya Kalambo Ya Pitisha Bajeti Ya Bilon 36.4

Posted on: December 24th, 2019


HALMASHAURI ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa imepitisha bajeti ya shilingi bilioni 36.4 katika mwaka wa bajeti 2020/2021.

Akisoma bajeti hiyo jana katika baraza la madiwani lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha Makatekista uliopo mjini Matai, Afisa mipango wa halmashauri hiyo Eric Kayombo ,alisema kuwa katika bajeti hiyo halmashauri imepanga kukusanya mapato ya ndani shilingi bilioni 1.8.

Alisema kuwa fedha bilioni 27.0 zitatumika kwaajili ya mishahara, shilingi bilioni 5.6 zitakuwa kwaajili ya miradi ya maendeleo na shilingi bilioni 1.8 ni kwaajili ya matumizi mengineyo.

Katika kikao hicho mwenyekiti wa halmashauri hiyo,Daudi Sichone aliwaomba madiwani wa halmashauri hiyo kwa kushirikiana na wananchi wajitahidi kujenga vyumba vya madarasa pamoja na maboma kwaajili ya zahanati na vituo vya afya kwakuwa hivi sasa serikali inatoa hela kwaajili ya kumalizia.

Alisema kuwa vijiji ambavyo havijishughulishi wao watakosa maendeleo kwakua serikali inatoa fedha kukamilisha maboma ambayo bado, hivyo ni lazima wananchi waanze ndipo serikali imalizie.

Naye mkuu wa wilaya ya Kalambo Julieth Binyura aliwataka wananchi wanaoishi vijiji vilivyopo maeneo ya mpakani kuwa makini na wageni wanaoingia,wasiwapokee kiholela badala yake watoe taarifa kwa vyombo vya ulinzi.

Alisema kuwa katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka kuna sikuu hivyo watu wasio wema wanaweza kutumia fursa hiyo kuingia nchini na kufanya uhalifu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MTAPENDA FC WILAYANI KALAMBO YAKABIDHIWA KOMBE NA MNYAMA NG’OMBE BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI MICHEZO LIGI KUU NGAZI YA WILAYA

    October 27, 2025
  • WASIMAMAZI 1,703 WA VITUO WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA KALAMBO.

    October 27, 2025
  • WASIMAMAZI 1,703 WA VITUO WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA KALAMBO.

    October 27, 2025
  • . VIONGOZI WA DINI WILAYANI KALAMBO WATOA WITO KWA WAUMINI KUPUUZA WATU WANAO HAMASISHA VURUGU NA MAANDAMANO KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII.

    October 26, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.