• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

HALMASHAURI YA WILAYA YA KALAMBO YA SISITIZA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA ILIOBORESHWA

Posted on: July 2nd, 2019

Jamii  mkoani   Rukwa  imeashauliwa kujenga mazoea ya kupima  afya zao kupitia vituo mbalimbali  vya  kutolea huduma za afya sambamba na kujiunga na bima afyailioboreshwa CHF ambayo inajumaisha  watu  sita wa familia moja na kugharimu kiasi cha shilingi elfu therathini.

Mfuko wa bima ya afya  ilioboreshwa ulianza kwa mara ya kwanza kutumika Mkoani Dodoma mwaka 2012 na baadae kupelekwa kwenye mikoa ya morogoro na shinyanga mwaka 2015 na huku  ukitekelezwa chini ya sheria namba1ya CHFya mwaka 2001na kuhudumu ndani ya halmashauri167kati ya  halmashauri 185 hapa nchini.

Licha  ya  hilo lengo  kubwa la uanziswaji  wa  mfuko huo ilikuwa  ni kutoa  huduma bora  kwa wananchi  zenye gharama nafuu  na kuhakikisha upatikanaji wa huduma kuanzia ngazi ya zahanati mpaka ngazi ya hospitali ya rufaa ya mkoa kwa kuzingatia utaratibu zinapatika kwa urahis zaidi kama 

Awali  akiongea  kupitia  mafunzo ya CHF yalijumisha watendaji wa vijiji , waratibu  elimu  kata  pamoja  na wahudumu wa vituo vya kutolea huduma za afya mganga mkuu wilayani humo Alen Mlekwa amesema lengo ni kuwapatia elimu juu ya mfuko huo.

Amesema lengo la serikali ni kuwasaidia wananchi kuondokana na adha  ya  kupata matibabu   kwa  gharama  kubwa na  kusema  endapo  kila  mwanachi atachukua hatua zaidi  juu  ya  swala  hilo kwa  kujiunga na bima ilioboreshwa atakuwa  na uwezo wa  kutibiwa mahali popotendani  ya mkoa husika.

Amesema  bima ilioboreshwa inafaida nyingi kutokana na kwamba  mtu anaweza kutibiwa mahali popote bila  budha na kuitaka  jamii kuchangamikia fulsa hiyo .

Akiongea  na wananchi wa kata ya samazi wilayani humo mganga mkuu wa mkoa huo Bonifas  Kasululu, amesema  lengo la serikali ni  kuhakikisha  kila mwananchi  anapata tiba bora  na kwa bei nafuu na kuwasihi wananchi  kuendelea  kujiunga  na bima  ilioboreshwa  kwa  lengo  la  kuzisaidia familia  zao pindi  zinapopata  matatizo.

Hata  hivyo  imeelezwa  kuwa  walengwa  zaidi   wa  mfuko  huo  itawa ni familia  zenye kipato  cha chini na zilizo  kwenye mfumo usiokuwa rasmi

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.