• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Halmashauri Ya Kalambo Yapata Hati Safi Kwa Miaka 5 Mfululizo.

Posted on: April 9th, 2021

Halmashauri ya Kalambo mkoani Rukwa imepata hati safi kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 baada ya kufanya vizuri katika maeneo tofauti ikiwemo matumizi na ukusanyaj wa fedha,usimamizi wa mapato pamoja na usimamizi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Katika Taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeonesha kuwa taarifa za fedha, usimamizi wa miradi na usimamizi wa mapato zilizingatia sera za kihasibu na kufuata matakwa ya viwango vya kihasibu vya kimataifa kwa sekta ya umma.

Hata hivyo imeelezwa kuwa katika taarifa zilizokuwa zimewasilishwa kwenye Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 zilikuwa sahihi na za kueleweka ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa ulinganisho wa Mwaka wa Fedha uliopita (2018/2019) na kwamba taarifa zote zilionesha utoshelevu wa maswala yote muhimu yanayo husu Taarifa za Fedha.

 Kwa mujibu wa Mkaguzi wa Hesabu za Ndani katika Halmashauri ya Kalambo (CPA. Haji Mussa Chewa) amebainisha kuwa Halmashauri ya Kalambo imepata hati Safi kutokana na kuzingatia Viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu za Umma na kufuata ushauri wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

Halmashauri ya Kalambo ilianzishwa 23 Disemba mwaka 2012 kwa kumegwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga na kutangazwa kuwa Halmashauri January 2013 kwa tangazo la serikali (GN 631)

Hata hivyo Halmashauri hiyo ilianza kutekekeleza bajeti rasmi kuanzia tarehe 1 Julai, 2013 licha ya kuwa ilianza kazi zake tarehe 23 Machi 2013 baada ya kuundwa kwa baraza la kwanza la madiwani.

Aidh Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo ilipata Hati isiyoridhisha katika Mwaka wa Fedha 2014/2015 na katika Mwaka wa Fedha 2013/2014 ilipata Hati Safi na ndio mwaka ambao Halmashauri ilianzishwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.