• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Halmashauri Ya Wilaya Ya Kalambo Yatengewa Million 40 Kukamilisha Kituo Cha Afya Kanyezi.

Posted on: October 23rd, 2022


Halmashauri ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa imesema imetenga million arobaini(40,000,000) kwa ajili ya umaliziaji wa kituo cha fya kanyezi  ikiwa ni jitihada za kuwezesha wananchi katika maeneo hayo  kuondokana na adha ya kutafuta huduma za matibabu mbali na maeneo yao.

Mapema akiongea na kituo hiki mwenyekiti wa halmashauri hiyo Daud Sichone amesema katika kuwezesha wananchi kuondokana na adha ya kutafuta matibabu mbali na maeneo hayo halmashauri imetengewa million 40,000,000 kwa ajili ya kukamilisha majengo ya kituo hicho.

‘’katika mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri imetengewa jumla ya Tsh. 40,000,000 ili kukamilisha majengo yote na kuanza kutoa huduma kwa kuwa pia kituo hiki kimesajiliwa katika mifumo ya upatikanaji wa dawa,vifaa tiba na huduma za basket fund.’’ Alisema sichone.

Mapema akiongea wakati wa ukaguzi wa miradi hiyo kaimu mkuu wa idara ya ujenzi katika Halmashauri hiyo mhandisi Jackson Mtegu alisema mwaka 2018 halmashauri ilipokea million mia nne 400,000,000, kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya kanyezi na kujumuisha majengo manne ikiwemo jengo la wagonjwa (OPD) jengo la upasuaji ,jengo la  maabara na jengo la RCH.

‘’ ujenzi umefikia asilimia 80% kazi ambazo hazijakamilika ni mfumo wa maji safi na maji taka na mfumo wa umeme ’’alisema  Mtegu

Hata hivyo hivi karibuni mkuu wa mkoa wa Rukwa Queen Sendiga alifanya ziara ya ukaguzi wa kituo hicho na kutoa siku 14 kuanza kwa umaliziaji wa kituo hicho.

 

 

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Tanzania Bara December 18, 2020
  • Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo December 18, 2020
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Tangazo la Zabuni ya Wakala wa Usafi September 12, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Das Kalambo Akabidhi Pikipiki 7 Kwa Watendaji Wa Kata

    February 21, 2023
  • Das Kalambo Akabidhi Pikipiki 7 Kwa Watendaji Wa Kata

    February 21, 2023
  • DC Kalambo Asisitiza Wakandarasi Kutopewa Muda Wa Nyongeza Kukamilisha Miradi Ya Maji

    February 16, 2023
  • Dc Kalambo Asisitiza Viongozi Wa Serikali Kusimamia Kampeni Ya Upandaji Miti

    February 08, 2023
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.