• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 85 UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE.

Posted on: July 19th, 2025

Halmashauri ya Kalambo mkoani Rukwa imefikia asilimia 85 ya utekelezaji mpango wa lishe kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa kugawa dawa za vitamini A na minyoo kwa Watoto 61,231 wenye umri kati ya miezi 6 hadi 59 sawa na asilimia 106 ikiwa ni pamoja na kuhamasisha wazazi na walezi katika shule 102 kuchangia chakula shuleni.

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Dkt. Emmanuel Muhanda kupitia kikao cha utekelezaji afua za lishe robo ya nne, amebainisha kuwa katika kuhakikisha Watoto wenye umri chini ya miaka 5 wanaondokana na adha ya utapia mlo na udumavu kwa mwaka wa fedha 2025/2026 halmashauri imetenga fedha kiasi cha shilingi million themanini na tano ambazo zitasaidia kutokomeza hali ya udumavu kwa watoto.

Kwa upande wake Afisa lishe Wilayani humo Robart Tepeli, amebainisha kuwa licha ya hilo katika kufanikisha zoezi hilo halmashauri imefanikiwa kuwafikia wanawake wajawazito na wanaonyonyesha wapatao 1567 katika kata 3 za wilaya hiyo kwa kutoa elimu ya ulishaji Watoto katika siku 1000 za mtoto.

Katibu tawala wilayani humo Servi Ndumbalo kupitia kikao hicho,amesema licha ya hilo halmashauri hiyo imefikia asilimia 73.64 ya utoaji wa chakula kwa wanafunzi shuleni na kuagiza zoezi la utoaji elimu na uanzishaji mashamba Darasa ya kilimo kupewa kipaumbele zaidi.

Licha ya hilo wanufaika 7,434 wa mradi wa TASAF kati yao wanawake wakiwa 7,284 na wanaume 150 wamefikiwa na elimu ya jamii juu ya lishe kwa njia ya vipindi vya radio na mikutano ya hadhara.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • VIFO VYA AKINA MAMA WAJAWAZITO WILAYANI KALAMBO VYATAJWA KUPUNGUA.

    July 29, 2025
  • RC RUKWA AWATAKA WAKURUGENZI KUTENGA BAJETI ZA KUHUDUMIA AFYA YA UZAZI NA MTOTO.

    July 28, 2025
  • KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 85 UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE.

    July 19, 2025
  • KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 85 UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE.

    July 19, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.