• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Maelfu Ya Waumini Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa Wajitokeza Kuombea Uchaguzi

Posted on: August 31st, 2020


Waamini pamoja na wachungaji kutoka madhehebu mbalimbali ya dini kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama wilayani Kalambo mkoani Rukwa, wameungana kuendesha kongamano la kumuomba mwenyezi Mungu ili uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu,uwe wa haki ili kuilinda amani na utulivu uliopo kwa lengo la kuivusha nchi ikiwa salama bila kumwaga damu.

Makamu askofu wa kanisa la FPCT jimbo la Rukwa na katavi Andrea Mwakalinga amesema  watumishi wa Mungu tunahitaji kamapeni safi bila ugomvi na kwamba kufanya fujo ni kukosa hekima ya kimungu.

Amesema  kwa kuwa  wagombea wote wanatoka  katika makanisa na misikiti yetu, Mashehe na Wachungaji tuta hakikisha tuna hubiri amani na utulivu kwenye mihadhara yetu.

‘’sisi tuna watu wengi wanao tufuata makanisani na misikitini mwetu, hivyo hatunabudi kuhimiza upendo ili zifanyike kamapeni zisizo na ugonvi kwenye majukwaa ya siasa. Na ijulikane kuwa mtu yeyote atakaye fanya kampeni za fujo kuelekea uchaguzi huu, atakuwa hana nia njema katika ustawi wa nchi yetu.’’ Amesema mwakalinga.

Shehe  wa  wilaya  hiyo Sulemani Amani, alisema  kila  mtu  amefika  katika  eneo  hilo kwa  lengo la kufanya maombi na kuwataka  washirika wote kuomba  katika  roho na kweli ili kuhakikisha maombi hayo yanafika kwa mwenyezi mungu kama  ilivyo kusudiwa.Mkuu wa wilaya ya Kalambo Calorius Misungwi, amesema kila mwananchi anatakiwa kuchagua  viongozi bora baada ya kusikiliza sera  zao.

‘’Sisi kazi  yetu kama  wananchi ni kusikiliza sera na kuchagua viongozi wenye sifa  safi. Hivyo wote tuhamasike na tujitokeze kwa  wingi  kuchagua  viongozi bora  ambao  watakuwa  msaada  kwa  wilaya na taifa  kwa  ujumla.’’ Amesisitiza Misungwi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.