• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mafunzo ya PlanRep katika Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo yakamilika.

Posted on: September 28th, 2017

...Maafisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo wamepata mafunzo juu ya utumiaji mfumo mpya (ulioboreshwa) wa kupanga, kubajeti, na kuripoti (PlanRep Web Based) katika ukumbi wa Sunrise, Matai. Mafunzo hayo ya siku tatu yalianza tarehe 26 hadi 28 Septemba 2017 yakiendeshwa na baadhi ya Maafisa wa Halmashauri hiyo waliohudhulia mafunzo ya awali ya mfumo huu katika kanda ya Kigoma. Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo Maafisa wa Halmashauri hiyo juu ya  mfumo huo ambao utakua unapatikana kupitia kiambaza (browser) katika kompyuta.

Awali mafunzo hayo yalifanyika katika kanda mbalimbali Nchini ambapo  Maafisa Mipango, Waweka Hazina, Waganga Wakuu, Maafisa TEHAMA pamoja na Makatibu wa Afya walipatiwa mafunzo juu ya mfumo huo na kupewa jukumu la kufikisha elimu hiyo kwa Maafisa mbalimbali waliobaki katika Halmashauri zao 

Mfumo mpya wa PlanRep (PlanRep Web Based) ni mfumo ambao umefanyiwa maboresho makubwa kwa kuchukua mazuri yaliyopo katika PlanRep ya awali na kuongeza mengine kwa lengo la kuboresha na kurahisisha zoezi la upangaji bajeti katika Halmashauri zetu. PlanRep mpya itasaidia upatikanaji wa taarifa moja ya bajeti husika (kuondoa ufanyaji mabadiliko katika bajeti mara baada ya kutuma kwenda ngazi nyingine) kwa kila ngazi kutokana na kuwepo udhibiti wa kutosha. 

Kupitia Matumizi ya Planrep iliyoboreshwa itarahisisha uandaaji na upatikanaji wa bajeti katika Halmashauri zote nchini ikiwa ni pamoja na kuziondolea gharama kubwa iliyokua ikitumika katika zoezi la kuandaa bajeti,  gharama ambazo zilizotokana na matumizi makubwa ya uchapishaji karatasi, gharama ya safari,na posho za kuwasilisha bajeti katika ngazi ya Mkoa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI, fedha ambazo kwa sasa zitatumika katiaka utekelezaji wa shughuli nyingine za Halmashauri.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.