• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mashine 24 Za Michezo Ya Kubahatisha Zateketezwa Kwa Moto mkoani Rukwa

Posted on: August 14th, 2020

Bodi ya michezo ya kubahatisha nchini kwa kushirikiana na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) mkoani Rukwa na Katavi imekamata na kuteketeza kwa moto mashine 24 za michezo ya kubahatisha zenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 46 na kupiga malfuku watoto kuhusishwa kwenye michezo hiyo.

Mashine hizo ambazo nyingine ziligundulika kuwa feki na baadhi zikiwa zimeingizwa nchini kinyemela bila kufuata utaratibu ,zilikamatwa kwa nyakati tofauti na kuteketezwa kwa moto katika mikoa ya Katavi na Rukwa.

 Katika mkoa wa Katavi ,mashine nane zenye thamani ya shiingi milioni 12 zilikamatwa wilayani Mlele katika mji wa Inyonga katika kiijji cha Majimoto na kuteketezwa kwa moto.

 Katika mkoa wa Rukwa zilikamatwa mashine 16 zenye thamani ya shilingi millioni 30 katika vijiji vya mwambao wa Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga .Mkurugenzi mkuu wa bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania , Jemes Mbalwe, jana alisema serikali imeweka utaratibu wa kisheria wa uingizaji wa vifaa mbalimbali kutoka nje ili iweze kunufaika kupitia ukusanyaji kodi.

‘’sekta hii imekuwa ikichangia sehemu kubwa ya mapato ya nchi yetu,kwa mwaka wa fedha 2019 /20 pekee imechangia Zaidi ya shilingi billion 95 katika pato la taifa ‘’alisema.

Alieleza kuwa kwa mujibu sheria,mashine hizo zinatakiwa kuwekwa katika maeneo ya kuuzia vileo,nyumba au maduka maalumu yaliosajiliwa na waendeshaji kulipa kodi.

 Meneja wa TRA mkoani Rukwa Chacha Boazi , alisema msako huo ni endelevu ili kuwabaini wanao kwepa kulipa kodi kwa kutumia mashine feki na zinazoingizwa nchini kinyemela bila kusajiliwa.

 

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.