• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mbunge Jimbo La Kalambo Awakikishia Wananchi Mbolea Ya Ruzuku Kupatikana Kabla Ya Msimu Wa Kilimo Kuanza.

Posted on: July 24th, 2023

Mbunge Jimbo la Kalambo Josephat andege amesema bei ya mahindi imeongezeka kutoka shilingi 600 ya bei ya awali hadi kufikia shilingi 900 sawa na ongezeko la shilingi 300 kwa maeneo ya mjini na shilingi 200 kwa maeneo ya vijijini.

Aliyasema hayo kupitia mikutano ya hadhara aliyoifanya katika maeneo ya vijiji vya Singiwe, Katuka,Msanzi,Mau na Kanyalakata na kuwataka wananchi wilayani humo kuacha tabia ya kuuza mazao yao kwa bei ya hasara na kusema lengo la serikali ni kuwawezesha wakulima kunufaika na kilimo.

Aidha aliwakikishia wananchi wilayani humo kupata mbolea ya ruzuku kabla ya msimu kuanza kutokana na serikali kuweka mazira rafiki ambayo yatawezesha mbolea kuwafikia wakulima katika maeno yao husika.

Licha ya hilo Kandege alifanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendelo katika  kijiji cha Katuka na kuwakikishia wakazi wa  vijiji vya Singiwe na chalaminwe kumalizia ujenzi wa zahanati ,shule ya msingi pamoja na jengo la ofisi ya chama cha mapinduzi ambalo linajengwa kwa nguvu za wanachama.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WATIA NIA 158 WAJITOSA KUWANIA UBUNGE NA UDIWANI KALAMBO

    July 03, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO MKOANI RUKWA YAPOKEA WATUMISHI 67 WA AJIRA MPYA.

    July 03, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO MKOANI RUKWA YAPOKEA WATUMISHI 67 WA AJIRA MPYA.

    July 03, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.