• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Million 140 Zatengwa Kwa Ajili Ya Umaliziaji Maboma Ya Zahanati Wilayani Kalambo

Posted on: February 6th, 2020


HALMASHAURI ya Kalambo mkoani Rukwa imesema imetenga fedha kiasi cha shilingi milioni 140 katika bajeti ya 2020/ 2021 kwaajili ya umaliziaji wa maboma ya majengo yote ya zahanati

Akiongea ofini kwake kaimu Mkurugenzi wa Halmashuari hiyo Magreth Kakoyo, alisema katika maboma yaliyobakia  Halmashauri inaendelea kufanya maandiko ili kuhakikisha yanakamilika na kutoa matunda kwa lengo la kusogeza huduma kwa wananchi.

‘’Halmashauri katika bajeti ya mwaka  2020/2021imetenga fedha kiasi cha  shilingi milioni 140 kwa ajili ya umaliziaji wa maboma yote ya zahanati   ikiwemo na maboma ya vijiji vya Tunyi, Mzungwa na Ilonga kwani vijiji hivi viko mbali na makao makuu ya Wilaya na kata husika haina kituo cha afya,

‘’Niendelee kuwahimiza wananchi waendelee kujitolea nguvu kazi kwenye kufyatua na kuchoma tofali, kusogeza mawe na mchanga pamoja na kujenga walau kufikia usawa wa linta kwani kipaumbele cha sasa ni kukamilisha maboma yaliyojengwa na wananchi wenyewe.’’ Alisisita na kuwaomba  wananchi katika maeneo hayo kuendelea kuwa wavumilivu.

Hatua hiyo imekuja baada  ya  kuwepo  kwa  malalamiko  kutoka kwa wananchi katika kata ya  Mambwenkoswe  juu ya maeneo  hayo kuwa na upungufu  wa  vituo  vya  kutolea  huduma  za afya  na huku kata  hiyo  ikiwa na zahanati moja licha ya kuwa na vijiji sita .

Diwani wa  kata hiyo Juliasi Kanowalya ,alisema wananchi wake wamekuwa  wakisafiri  umbali  mrefu   kufuata  huduma za matibabu  katika  zahanati  ya  Kalembe  ambayo inategemewa na kata nzima .

Alisema   baadhi  yao  wamekuwa  wakilazimika  kitibiwa  katika  nchi  jirani  ya  Zambia  kutokana na  vijiji  vyao kuwa na umbali wa zaidi ya km kumi  kutoka kwenye  maeneo  ya kutolea huduma za afya.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.