• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mradi wa PS3 wafanya Maboresho ya Mtandao kiambo (LAN) Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

Posted on: July 31st, 2017

...Zoezi la uboreshaji Mtandao Kiambo (Local Area Network) katika Majengo ya Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo chini ya Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta ya Umma (PS3) lakamilika. Zoezi hilo lilichokua muda wa wa siku saba limekamilika Tarehe 29/01/2017 ambapo Meneja Wa Mradi Mkoa wa Rukwa Bi. Rose Mangilima amekabidhi uboreshaji huo kwa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Injinia Simon Ngagani. Aidha Mkurugenzi Mtendaji Injiania Simon Ngagani amemshukuru meneja wa mradi wa PS3 pamoja wataalam waliofanya kazi hiyo na kuwakaribisha Wilaya ya Kalambo pale walipokua wakimuaga mara baada ya kukamilisha zoezi hilo Tarehe 31/07/2017. 

Uboreshaji huu wa Mtandao kiambo utasaidia upatikanaji wa mifumo mbalimbali ya TEHAMA katika Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo ambapo maeneo ya Idara ya Fedha, Mipango na Ufuatiliaji, Utawala, pamoja na TEHAMA yalipewa kipaumbele.

Katika kuboresha mifumo ya TEHAMA katika sekta ya Umma, Mradi wa PS3 unaendelea na maboresho katika mfumo wa  kielektroniki wa Ukusanyaji Mapato (LGRCIS), Mfumo wa Kupanga na kuripoti bajeti (PlanRep), tovuti za Serikali pamoja na baruapepe za watumishi wa Umma pamoja na Mtandao Kiambo (LAN)

Mbali na Uboreshaji mifumo ya TEHAMA Mradi wa PS3 ambao unafadhiriwa na Watu wa Marekani (USAID) unafanya maboresha katika sekta ya Utawala Bora, Rasilimali Watu, Rasilimali Fedha pamoja na Tafiti Tambuka.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.