• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mtendaji Wa Kijiji Awekwa Ndani Kwa Muda Wa Saa 24 Baada Ya Kula Fedha Za Vitambulisho .

Posted on: July 16th, 2019

Mkuu wa wilaya ya kalamboJulieth Binyura amemweka ndani kwa muda wa masaa 24 mtendaji wa kijiji cha Mao kata ya Mbuluma John Ndasi baada ya kuzitafutana fedha za vitambulisho vya ujasiliamali kiasi cha shilingi milioni moja na elfu themanini. 

Kumekwepo na changamoto ya baadhi ya watendaji kuto lejesha  fedha za vitambulisho vya ujasilimali licha kutoa vitambulisho hivyo kwa wafanyabishara na kupatiwa fedha na hivyo kupelekea uongozi wa  wilaya  hiyo kuanzisha oparesheni ya ukaguzi wa vitambulisho hivyo kupitia kwa watendaji na kubaini baadhi ya watendaji kula fedha hizo kinyume na utaratibu.

Akiongea  kwa  niaba ya mkuu wa wilaya  hiyo katibu  tawala wilayani  humo Frank Schalwe,amesema wamelazimika  kuchukua hatua ya kumweka ndani mtendaji wa kijiji cha Mau baada ya kula fedha za  vitambulisho kiasi cha shilingi million moja na elfu themani.

‘’mkurugezi  amekuwa akitoa  taarifa  mara  kwa  mara  juu  ya kutolewa  kwa  vitambulisho  fedha  zimekuwa  hazionekani  licha  ya  vitambulisho  kutolewa  kwa wingi na ndio  maana  tukaanzisha  masako  wa kata  kwa  kata  na  kubaini  baadhi  ya  watendaji  kuzitafuna fedha zavitambulisho’’alisema  sichalwe .

Alisema mtendaji  huyo ataendelea kushikiliwa  na jeshi  la  polis  mpka  pale atakapo lipa  mkuu  wa  wilaya  atakapo kuwa  amerudi   kutoka  safari.

Mkurugezi  mtendaji wa halmashauri Hiyo Msongela Palela amewaonya watendaji kuacha tabia ya kuzitumia  fedha  za vitambulisho  katika  matumizi   yao  binafus  na  kusema  atakae  bainika  hatua kali za kishera  dhidi  yake  zitachukuliwa.

‘’hizi fedha  za vitambulisho  msizile watendaji  wangu  ni bora  mle fedha  zingine  lakini  si  hizi,nawaonya  acheni  mchezo  huo  kwani   ni baya ‘’alisema palela.

Aliidha  alitumia  fulsa  hiyo  kuwasihi  watendaji  kuendelea  kuwa  wanifu  hususani  wakati  wa ukusanyaji  fedha  za vitambulisho  hivyo  na  kusema  kwa  kufanya  hivyo  kutasaidia   kuondokana na matatizo  yasio  kuwa  ya  lazima.

Hata  hivyo  serikali  ilitoa  vitambulisho elfu kumi na tatu namia mbili hamsini na huku mpaka sasa vitambulisho 3065 vikiwa  vimetolewa  kwa  wafanya  biashara.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.