• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

NAIBU WAZIRI WA KILIMO ATAKA RANCH ZOTE KUANZA KUFANYA KAZI

Posted on: July 9th, 2019

Naibu waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah ulega ameyaagiza mashamba yote kumi na minne ya mifugo nchini-Ranchi- kuanza kutumika kwa ajili ya kutoa mafunzo endelevu ya malisho bora ya mifugo ya wafugaji.

Ulega amemweleza mwenyekiti wa bodi ya mashamba ya mifugo nchini –Narco-, Paul kimiti aliyeshiriki kikao cha wafugaji wa mifugo ya shamba la kalambo lililoko wilaya ya kalambo mkoani Rukwa kuwa mafunzo hayo yatakuwa na tija kwa ustawi wa mifugo na kutoa mwongozo wa kuanzishwa mafunzo ya ufugaji bora katika mashamba ya mifugo nchini-ranchi-kwa wafugaji wanaopewa vitalu vya kulishia mifugo yao kwenye mashamba hayo.

Amesema utaratibu unaotumika hivi sasa wa kuwamilikisha wafugaji vitalu vya kulishia mifugo yao bila ya kuwaelekeza njia bora na sahihi ya ulishaji bora wa mifugo unashindwa kuwavutia wagufaji hao kuibaini tofauti iliyopo ya kuzitumia huduma na fursa za mashamba hayo.

mwenyekiti wa bodi ya mashamba ya mifugo nchini-narco-, paul kimiti amesema wakati umefika kwa mashamba ya mifugo nchini kuonyesha tofauti ya ufugaji wa kisasa wenye tija.

Mkuu wilaya ya kalambo Julieth Binyura amemweleza naibu waziri uhusiano uliopo kati ya wavuvi wanaolitumia hususani  katika  ziwa Tanganyika na wavuvi wa nchi jirani ya Zambia.

Naibu waziri wa mifugo na uvuvi aliyekuwa na ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Rukwa ameweza kukutana na wafugaji na wavuvi katika halmashauri zote nne za mkoa huo na kujadiliana njia bora na sahihi za kuendesha shughuli zao kwa kuzingatia sheria za nchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.