• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Ofisi Ya Mkuu Wa Wilaya Ya Kalambo Yatoa Misaada Ya Vifaa Mbalimbali Vya Ujenzi.

Posted on: July 26th, 2019

Ofisi ya mkuu wa wilaya ya kalambo mkoani Rukwa imetoa misaada ya vifaa mbalimbli vya ujezi ikiwemo sementi mifuko 2010 na bati bando15 kwenye kata kuminatano za wilaya hiyo ambavyo vitasadia kukarabati majengo chakavu ya shule za msingi na sekondari pamoja na kumalizia maboma ya zahanati na huku ikiwasisitiza watendaji kuvitumia vifaa hivyo kwa malengo yaliokusudiwa.

Kumekwepo na changamoto ya baadhi ya majengo ya taasisi za serikali ikiwemo ya shule za msingi na sekondari  kuchakaa na huku baadhi ya maboma kwenye maeneo tofauti ya wilaya hiyo kuto kamilika licha ya nguvu za  wananchi  kutumika kwa kiasi kikubwa na kupelekea ofis ya mkuu wa wilaya hiyo kuchukua hatua ya kutoa vifaa vya ujezi kwa lengo la kusaidia kuondoa  changamoto hizo.

Akikabidhi vifaa hivyo mkuuu wa wilaya hiyo Julieth Binyura kwa viongozi wa kata husika, amewataka wananchi kuendelea kujiunga navikundi mbalimbali vya ujasiliamali ambavyo vitawasaidia kujikwamua na hali ya kiuchumi.

Alisema  ziara  mbalimbali zilizofanywa ndani ya wilaya ya aliahidi kuchangia shughuli za maendeleo kwa makundi mbalimbali ya jamii na taasisi .

Alisema  ametoa misaada katika vijiji vya Mkonko,Namlangwa,Chalaminwe,Safu ,Kisumba ,Sundu,Kilesha, Ilango,Senjakalonje ,Kanyezi ,majengo,Kizombwe,Sopa,Mkowe, Katete.

Katibu tawala wilayani humo Frank Sichalwe amewataka watendaji kusimamia vifaa hivyo kwa umakini ili viweze  kutumika katika malengo yaliokusudiwa na  kusema  jumla ya shilingi  milioni tano zimetumika kununua vifaa hivyo.

Mkurugezi mtendaji wa halmashauri ya hiyo Msongera palela aliawataka madiwani  kusimamia  vifaa hivyo ili  viweze  kutumika  katika  malengo yaliokusudiwa na serikali .

‘’kwa ujumla vifaa hivi vimelenga kutatua chanagamoto mbalimbali  ambazo  sisi  kama halmashauri ilitakiwa  tuzitatue lakini  kupitia  hii  tuna  imani pale ambapo sisi kama halmashauli ilitakiwa  tuweke mkono wetu basi  misaada hii itaneda kusaidia, lakini namba niwatake watendaji wangu wangu mkasimamie vifaa hivi vizuri.’’alisema Msongera.

Baadhi ya wananchi wilayani humo  wameipongeza serikali ya wilaya hiyo kwa kutoa misaada hiyo na kuwa  itawasaidia  kwa  kiasi kikubwa na kuomba kuendelea na moyo huo.

Llicha ya hilo ofis ya mkuu wa wilaya hiyo pia imetia misaada ya vifaa mbalimbali vya ujezi kwa wananchi  waliokuwa wamekubwa na maafa ya mvua  katika  kata  ya za lyowa na Matai na hivyo kupelekea nyumba  zao kuezuliwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.