• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Pembejeo Kuwafikia Wakulima Kwa Wakati Mkoani Rukwa

Posted on: November 7th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote za mkoa huo kusimamia kwa karibu uingizwaji wa pembejeo za kilimo na kuhakikisha zinauzwa kwa bei elekezi ili kuwafikia wakulima kwa muda muafaka.

Akiongea kupitia madhimisho ya ufunguzi wa msimu mpya wa kilimo kwa mwaka  2019/2020 Wilayani Kalambo,Mkuu wa Mkoa wa Rukwa aliyewakilishwa na Mkuu  wa Wilaya ya Kalambo Julieth Binyura,amesema katika kipindi cha mwaka 2019/2020 mkoa unalenga kulima jumla ya hekta 603,637.5 za mazao  mbalimbali.

‘’kati ya hizo hekta 524,800.7 ni za mazao ya  chakula ,hekita 76,363.08 za mazao ya biashara na hekta 2,473.35 za mazao mbalimbali ya mbogamboga na matunda. ‘’alisema Binyura .

Alisema jumla ya tani 1,731,495.5 za mazao zinategemewa  kuzalishwa  ambapo  kati ya  kiasi  hicho tani 1,602,5201.1 ni za  mazao ya chakula ,tani 115,800 za mazao  ya mbogamboga na matunda.

‘’nitoe  maelekezo  kwa  watendaji wote wa  Halmashauri zote kuhakikisha mbolea hizi zinauzwa kwa bei elekezi na zinawafikia wakulima katika maeneo  yote’’alisema Binyura.

Mwakilishi wa tasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Briten, Progers Mbugi,amesema mpaka sasa wameweza kufikia wakulima 54,000 kwa kuwapatia elimu na misaada  mbalimbali.

‘’mpaka sasa kupitia mradi huu tumeweza kuwafikia zaidi ya wakulima wadogo wadogo 54,000 wake  kwa  waume ,kutoka katika vyama vya msingi  vya ushirika vya mazao –AMCOS  pamoja  na wale walio nje ya vyama hivi. Lengo letu hadi  kufikia mwisho wa mradi huu 2020 tuwe tume wafikia wakulima 72,000.’’Alisema Progers Mbugi.

Kwa upande wa wakulima wilayani humo wameiomba serikali  kutoa pembejeo za kilimo mapema kabla ya  msimu kuanza.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.