• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Rais Magufuli Afanya Mabadiliko Madogo Ya Baraza La Mawaziri

Posted on: January 23rd, 2020

Rais John Pombe Magufuli amesema amepokea na kuridhia ombi la kutaka kujiuzulu alilowasilisha kwa barua.

Akizungumza katika hafla ya kukabidhi nyumba za askari magereza Ukonga jijini Dar es Salaam, kingozi huyo amesema kuwa licha ya kuwa rafiki mkubwa wa kiongozi huyo, hafai kusalia katika ofisi yake kutokana na makosa aliyoyafanya.

Akionesha kusikitishwa kwake rais Magufuli alisema: ''Tuna changamoto nyingi na hasa hii ya mambo ya ndani, kama kuna wizara inanitesa ni wizara ya mambo ya ndani, nataka muelewe hivyo watanzania, inatesa sana''.

Waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania Kangi Lugola aomba kujiuzuluHaki miliki ya pichaKAJUNASON
Image captionWaziri wa mambo ya ndani wa Tanzania Kangi Lugola aomba kujiuzulu

''Katika kipindi cha miaka minne kuna tume nyingi tu zimeundwa kwa ajili ya kuchunguza wizara ya mambo ya ndani kwa miradi ya hovyo iliyokuwa ikifanyika, na mimi nilitegemea watu watakuwa wanajifunza.Ninajua leo waziri wa mambo ya ndani haonekani hapa ameshaleta barua ya kujiuzulu na nimeshamkubalia na nimempongeza kwa hilo''.

Hivi karibuni kulikuwa na mkataba mmoja wa ajabu unatengenezwa wizara ya mambo ya ndani wenye thamani ya Euro milioni 408 , mradi huo umetayarishwa na kusainiwa na Kamishna Jenrali wa zimamoto, haujapangwa kwenye bajeti wala kupitishwa na Bunge. ''

Waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania aomba kujiuzulu

''Wakati wa vikao na kampuni moja wahusika wote watanzania walipokuwa wanakwenda kwenye majadiliano walikuwa wanalipwa kwanza sitting allowance ya dola 800 na bado wanalipiwa tiketi za ndege, mradi wa hovyo wameusaini memorandum of understanding lakini kilichoelezwa ndani ni kuwa iwapo mkataba ukitaka kuuvunja yale yaliyoanza kutekelezwa lazima yaendelee kutekelezwa.'' Alieleza rais Magufuli.

''Urafiki upo lakini katika suala la kazi siwezi kuruhusu na hivyo ndivyo nilivyo. Nakupenda sana lakini katika hili hapana , Kangi Lugola mwanafunzi wangu umenisifia sana hapa nakushukuru lakini katika hili hapana.....na lazima niwe mkweli sitaki kuwa mnafiki ,unafiki ni mbaya , Andegenye umefanya kazi nzuri sana lakini katika hili ulilolifanya hapana. Unakwenda Ulaya kutia saini miradi ambayo haijapitishwa na bunge'',alisema .

Ametoa onyo kwa wale wote aliowateua au kuteuliwa na wasaidizi wake watambue kuwa wana jukumu kubwa la kuwafanyia kazi wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.