• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Raisi Magufuli Kutua Kesho Mkoani Rukwa.

Posted on: October 5th, 2019


Raisi wa jamhuri ya mungano waTanzania Dkt.John Pombe Magufuli anatarajia kufanya ziara katika mkoa wa Rukwa kwa muda wa siku tatu kunazia tarehe oktoba 6,2019,Katika ziara hiyo atafungua tarehe 6,2019atazindua mradi wa barabara yaTunduma –Sumbwanga na kuzungumza na wananchi .

Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo ni kuwa Tarehe7,10,2019 Mh.Rais atazindua mradi wa maji safi na usafi wa mazingira katika Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga na badae tarehe hiyo hiyo atazindua msikiti wa Istiqaama Community of Tanzania na kufanya mkutano wa hadhara na wananchi wa mkoa wa Rukwa.

Tarehe 8/10,2019 Mh.Rais atafungua barabara ya Sumbawanga –Kanazi na ataelekea wilayani Nkasi katika mji wa Namanyere ,ambpo atazindua kituo cha afya Nkomolo-Namanyere kwa niaba  ya vituo vya afya vilivyojengwa mkoani hapa na badae atazungumza na wananchi wa mji  wa Namanyere.

‘’nitoe Rai kwa wananchi wa mkoa wa Rukwa kujitokeza kwa wingi kumpokea Rais wetu wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ikizingatiwa kuwa Raisi wetu amefanya mambo makubwa ya kuleta maendeleo katika taifa letu na mkoa wetu kwa ujumla.’’Joachim Wangabo  mkuu wa mkoa wa Rukwa amesisitiza.

 ‘’Pia natambua  kuwa wananchi wa mkoa  wa Rukwa ni wakarimu sana,hivyo ni matumaini  yangu kuwa tutampokea  kwa hwshima kubwa na  kushiriki  mkutano mkubwa wa hdhara utakaofanyika katika uwanja  wa Mandela .milango ya kuingia uwanjani kwenye mkutano wa hadhara itakuwa wazi kuanzia saa 11:00 Alfajiri  mpaka saa 5:00 asubuhi’’Joachim Wangabo mkuu wa mkoa wa Rukwa amesisitiza.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.