• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

RC RUKWA AWATAKA WAKURUGENZI KUTENGA BAJETI ZA KUHUDUMIA AFYA YA UZAZI NA MTOTO.

Posted on: July 28th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere amezitaka timu za usimamizi wa afya ngazi ya Mkoa na Halmashauri za wilaya kuhakikisha kila kifo kinachotokea cha mama mjamzito na mtoto mchanga kinachunguzwa kwa kina kwa kuzingatia Matakwa ya Mwongozo wa ufuatiliaji na tathimini ya Vifo vya akina Mama na watoto Wachanga kwa ajili ya Kuchukua Hatua.

Ameyasema hayo, wakati wa kikao cha kujadili vifo vya akinamama vitokanavyo na matatizo ya uzazi na Watoto wachanga, kilicho fanyika ngazi ya Mkoa, katika wilaya ya Kalambo na kuwataka wakurugenzi wa Halmashauri kutenga bajeti kila mwaka kwa ajili ya huduma za afya ya uzazi na mtoto ikiwa ni pamoja na kuhimiza watumishi kuzingatia maadili ya kazi, kuhudumia kwa heshima na kutoa huduma kwa wakati na kwa ubora unaostahili.

Aidha amewataka wakurugenzi kuimarisha usimamizi Madhubuti wa mfumo wa rufaa kwa wagonjwa kwa kuhakikisha magari ya kubeba wajawazito yanakuwa tayari kutoa huduma muda wote yanapohitajika.

‘’Tunawajibika kufanya kazi kwa mshikamano na ushirikiano wa karibu kila mmoja kwa nafasi yake. Vifo vya akina mama na watoto wachanga vinavyoweza kuzuilika, havipaswi kabisa kuwepo katika jamii yetu.’’alisema Makongoro.

Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Ndugu, Shafi Mpenda ametumia fursa hiyo kuipongeza Serikali kwa kutoa fedha nyingi zilizowezesha kujenga na kukarabati vituo vya kutolea huduma za afya, ambavyo vimewezesha wananchi kupata huduma karibu na maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • VIFO VYA AKINA MAMA WAJAWAZITO WILAYANI KALAMBO VYATAJWA KUPUNGUA.

    July 29, 2025
  • RC RUKWA AWATAKA WAKURUGENZI KUTENGA BAJETI ZA KUHUDUMIA AFYA YA UZAZI NA MTOTO.

    July 28, 2025
  • KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 85 UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE.

    July 19, 2025
  • KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 85 UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE.

    July 19, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.