• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Yatoa Tahadhari Ya Ugonjwa Wa Ebola.

Posted on: January 23rd, 2020


WANANCHI kutoka wilaya za Kalambo na Nkasi mkoani Rukwa wameiomba serikali kuongeza vifaa vya kupimia ugonjwa wa ebola pamoja na kutolewa elimu kutokana na wilaya hizo kuwa na mwingiliano mkubwa wa watu kutoka nchi jirani ya Congo na hivyo kuwa na hofu ya kuenezwa ugonjwa huo.

Wakiongea katika nyakati tofauti wananchi hao,walisema serikali haina  budi kudhibiti wahamiaji haramu kutoka nchi jirani ya Congo kutokana na ugonjwa huo kuripotiwa kuwepo nchini humo.

Wakiwa katika mkutano maalumu uliowajumuisha wataalamu wafya ngazi ya jamii na wadau mbalimbali katika wilaya za Nkasi na Kalambo wamedai kuwa mazingira ya ugonjwa huo ni hatarishi sana na hivyo vifaa vya kupimia ugonjwa huo vinatakiwa kwa wingi hasa kutokana na mwingiliano mkubwa uliopo kati ya Watanzania na Congo.

Lakini pia wizara ya afya imeshauliwa kuwatumia vyema Waganga wa jadi katika vita hii ya ugonjwa wa ebola kwani watu hao wakielimika vya kutosha watatoa msaada mkubwa kwa kuwaelekeza wateja wao kwenda hospitalini pale wanapobaini kuwa wateja wao wanaonesha dalili ya ugonjwa huo

Awali akitoa elimu kwa wananchi kutoka wilaya za Kalambo na Nkasi  mwakilishi kutoka wizara ya afya Ashole Mshana ,alisema serikali  imeanza kutoa tahadhari  kwa wananchi dhidi ya ugonjwa huo na kuwasihi wananchi hususani wanaoishi katika mwambao wa ziwa Tanganyika kuwa makini na wageni wanaoingia kwenye maeneo yao  husika  .

Mkuu wa wilaya ya kalambo mkoani humo Julieth Binyura alisema  lengo la serikali ni  kuhakikisha ugonjwa huo hauingii nchini.

Aidha  aliwasihi  wataalamu  kuendelea  kutoa  elimu kwa wananchi  juu  ya athari za ugonjwa  huo ikiwa  ni pamoja  na kuongeza vifaa  vya  kupimia ugonjwa huo haswa  kwa  wananchi  wanaoingia  kinyemera nchini kupitia njia za panya.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.