• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wahitimu Wa Mafunzo Ya Kijeshi Waonywa Kutojihusisha Na Vitendo Viovu

Posted on: November 18th, 2020


Wahitimu wa mafunzo ya kijeshi kupitia jeshi la akiba wilayani kalambo mkoani  Rukwa wameonywa kutojihusisha na vitendo viovu pindi watakapo rudi uraiani na kusisitizwa kujikita zaidi katika shughuli za uzalishaji mali na kulinda raia na mali zao.

Mafunzo hayo ya mehusisha wahitimu wapatao 134 kati yao wanaume 99 na wanawake 35 huku wakitakiwa kuwa raia wema na kichocheo cha amani na utulivu wilayani kalambo na taifa kwa ujumla.

Akisoma risala kwa niaba ya wahitimu hao Jen Ngonyani, amesema kupitia mafunzo hayo wamejifunza mbinu mbalimbali za kivita kwa nadhraia na vitendo vikiwemo usomani ramani, utimamu wa mwili, nidhamu na uzalendo huku wakiiomba serikali kuweka utaratibu maalumu utakao wawezesha kupata ajira za kudumu na za muda ili kunufaika kiuchumi.

licha ya hilo, wameiomba serikali kuongeza muda wa mafunzo kwani muda  uliowekwa ni mdogo na  hivyo kushindwa  kujifunza baadhi  ya masomo mengi yakiwemo matumizi ya aina nyingi za siraha.

Akiongea kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo wakati wa kufunga mafunzo, katibu tawala wa wilaya Frank Sichalwe akawataka wahitimu hao kuyatumia mafunzo hayo  kuwakamata wahalifu wote.

Aidha amewaagiza watendaji wa  vijiji na kata  kuhakikisha wanashirikiana na askari  hao katika kuwabaini  waharifu  wakiwemo watu  wanaolewa wakati wa saa za kazi.

Kwa upande wake mshari wa mgambo wilayani humo  meja  Gwamaka Mwailunga, amesema mafunzo hayo yalianza julai 13 ,2020 na kuhitimishwa leo julai 17, 2020, mafunzo yaliyodumu kwa muda wa  miezi mitano tangu kuanza kwake.

Amesema mafunzo  hayo yatakuwa mwarobaini wa kukomesha matukio ya wizi  kwa baadhi ya maeneo ambayo asikari hawafiki kwa  urahisi na  kuwataka  wahitimu hao  kuwa mfano wa kuigwa katika jamii kwa  kujikita  katika  shughuli za uzalishaji  mali zikiwemo za kilimo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.