• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wanafunzi 361 Kukosa Nafasi Za Kujiunga Na Elimu Ya Sekondari Wilayani Kalambo

Posted on: November 29th, 2019


MKUU wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo ameziagiza Halmashauri mkoani humo kuhakikisha zinakamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 2888 ili wanafunzi waliokosa nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza waweze kwenda Sekondari.

Agizo hilo alilitoa jana wakati akifungua kikao cha kamati ya ushauri mkoa wa Rukwa(RCC) katika mwaka wa fedha 2019/2020 kilichofanyika katika ukumbi uliopo katika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa huo.

Alisema kuwa wanafunzi Waliofaulu darasa la saba mwaka 2019 ni 16,069,kati ya hao wavulana ni 7,953 na Wasichana ni 8,116, na nafasi zilizopo ni 13,128.

Mkuu huyo wa mkoa alisema kuwa Wanafunzi ambao watakosa nafasi katika Halmashauri ya wilaya ya Kalambo ni 361,wilaya ya Nkasi Wanafunzi 1554, wilaya ya Sumbawanga Manispaa ni Wanafunzi 179 na Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga ni Wanafunzi 794.

Kutokana na takwimu hizo Halmashauri ya Nkasi inaongoza kwa kuwa na Wanafunzi wengi watakao kosa nafasi ikifuatiwa na Halmashauri ya Sumbawanga, Kalambo na Halmashauri ya Manispaa.

Aidha Wangabo aliwaagiza wakuu wa wilaya za mkoa huo kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliofaulu wanajiunga kidato cha kwanza ifikapo Januari 2020 na kuwa hakutakuwa na udahili wa pili wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2020.

Katika kikao hicho mbunge wa mkoa huo wa Rukwa Silafi Maufi alishauri kuwepo na kawaida ya kuwapima mimba wanafunzi mara kwa mara kuliko kusubilia mpaka ahisiwe mwanafunzi kuwa na ujauzito na wanaume walio sababisha mimba hizo wakamatwe na kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria.

Hata hivyo mkoa huo wa Rukwa unajumla ya wanafunzi 294 waliokatisha masomo kutokana na kupata ujauzito katika kipindi cha mwaka huu wa 2019.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.