• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wananchi Wazuia Msafara Wa Naibu Waziri

Posted on: June 21st, 2019

Baraka  lusajo.Kalambo –Rukwa.

June 21,2019

  • Wananchi katika kijiji cha kafukoka kata ya Kisumba wilaya ya kalambo  mkoani  Rukwa wamelazimika  kusimamisha  msafara wa naibu waziri wanchi ofis ya RaisTamisem Josephat Kandege nyakati za usiku baada ya tembo kuvamia kijiji hicho kisha kusababisha  kifo cha mtu mmoja.
  • Kijiji cha  kafukoka  kinapatikana   katikati  ya  msitu wa hifadhi  ya  kalambo asilia  lakini  licha  ya   hilo  kijiji   hicho  kimekuwa  kikikabiliwa  na changamoto  ya  tembo  kuvamia  makazi   ya  wananchi  kila  wakati  ikiwemo  kuharibu    mazao   na  hivyo  kupelekea kujitokeza  kwa malalamiko   kutoka  kwa   wakazi  wa  maeneo   hayo na  huku  wakiomba  serikali  kutafuta  njia  mbadara  ya  kuzuia   tembo  hao.
  •  Awali  wakiongea  kwamasikitiko   makubwa  wananchi kijijini  hapo   mara  baada  ya  kuzuia   msafara huo nyakati za usiku ,walisema walilazimika kuzuia  msafara  huo  baada   ya  tembo  kusababisha   kifo cha victor  Tanganyika  mwenye umri  wa  miaka 69 mkazi wa  kijiji  hicho.
  • Joel Lusambo  mkazi  wa  kijiji  hicho , alisema  tatizo  hilo  ni la  muda  mrefu  kwani  tembo hao  wamekuwa  wakivamia  makazi  yao kila wakati  na  hivyo  kusabisha  hofu  na mashaka  kwenye  maisha  yao.
  • Alisema wakati  mwingine  wamekuwa  wakishindwa  kwenda  hata shamba  kwa  kuhofia  kuuwawa  na  wanyama  hao  kutokana na  kijiji  chao  kuzungukwa  na  msitu  wa  kalambo  asilia.
  • Janual   Mashaka  mkazi  wa  kijiji  hicho  alisema   mzee  huyo  alikuwa   katika  shughuli  za shamba  , ambapo  bila  kujua  hili   wa lile  alijikuta  akivamiwa  na  tembo  huyo    na kupelekea  umauti  kumfika.
  • Alisema  kutoka  na  hali  hiyo  ilipelekea  waanaanchi   kukaa  kikao  cha  dharulaa  na   kukubaliana   kuzuia  msafara  wa  naibu  waziri lengo  likiwa ni  kutaka  kujua  msimo   wa  serikali  juu  ya  tembo  hao.
  • Kwa upande wake   Naibu  waziri   wa  tamisemi  Josephat   Kandege, alisema serikali  iko  pamoja  na  wananchi   na  kuwasihi   kuendelea  kuimani  serikali kwani  inaendelea  kutafuta  ufumbuzi  zaidi   juu  ya  swala  hilo.
  • Hata  hiyo  siku  za  hivi  karibuni  serikali  kupitia  wakala  wa  hifadhi  za  msitu  wilayani  humo  ilitoa  mizinga  100 kwa  wananchi  wa  kata  ya  kisumba  na  kusisitiza  wananchi  kuitumia  mizinga  hiyo  kama  njia  mbada   ya  kupambana na  tembo  kuvamia  makazi  yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.