• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watu 20 Wakosa Makazi Baada Ya Mvua Kubwa Kunyesha Wilayani Kalambo.

Posted on: November 19th, 2020

Wananchi katika vijiji vya mpanga na Mombo tarafa ya mambwenkoswe wilayani kalambo mkoani Rukwa wameiomba serikali kuwapatia misaada ya kibinadamu kutokana na nyumba zao zipatazo 20 kubomoka kutokana na mvua kubwa iliokuwa imeambatana na upepo mkali kunyesha na kubasababisha baadhi yao kukosa makazi na kujihifadhi kwa majirani.

Wananchi hao kwa nyakati tofauti wamesema mvua hiyo imeharibu makazi yao kwa kuezua mapaa na kubomoa nyumba na kueleza kuwa mvua hiyo ilinyesha ikiwa imeambatana na upepo mkali.

Wamesema kufuatia hali hiyo walitoa taarifa kweye uongozi wa kijiji na kata ambao ulifikika eneo la tukio kisha kutoa taarifa wilayani ambao ulifika na kutembelea maeneo yote yaliokuwa yameathirika.

Afisa tarafa ya Mambwenkoswe Mpapalika Mfaume, amekili kuwepo kwa adha hiyo na kusema mvua hiyo ilinyesha na kubomoa nyumba (8) katika kijiji cha Mombo kata ya Legezamwendo na yumba(12) katika kijiji cha Mpanga na  kusema mpaka sasa wanaendelea na jitihada za kuwasaidia wananchi waliokumbwa na  kadhia hiyo kwa kuwapatia misaada ya kibinadamu pamoja na kusaidia  kuzinyenyua  nyumba  zilizokuwa zimeathirika  na kadhia hiyo.

Amesema wameomba sementi kupitia mfuko wa jimbo ili kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mpanga ambayo imeezuliwa kutokana na mvua hiyo na kusema sehemu zilizo athirika kwa kiasi kikubwa ni nyumba  za wananchi , Kanisa na Zahanati moja.

 Kwa upande wake katibu tawala wilayani humo Frank Sichalwe ametumia fulsa hiyo kuwataka wananchi maeneo hayo  kujenga mazoea ya kujenga nyumba zao kwa  kutumia sementi kwa lengo la kuepukana  na adha hiyo

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.