• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watumishi Walio Masomoni Wataka Kupandishwa Madaraja.’’Kalambo’’

Posted on: August 22nd, 2019


Watumishi wa umma wilayani kalambo mkoani Rukwa wamelalamikia kitendo cha wafanyakazi wa serikali waliomasomoni kuto pandishwa madaraja licha ya kufuata vigezo na masharti ya utumishi wa umma wakati  wa kwenda masomoni na kuutaka uongozi wa halmashauri hiyo kutoa ufafanuzi zaidi juu ya swala hilo kwa lengo la kuondokanana sitofahamu hiyo.

Wilaya ya kalambo kwa mwaka 2019/2020 imefanikiwa kupandisha madaraja watumishi wapatao 540 huku walimu wakiwa ni 455 na idara  zingine ikiwa ni 85 na huku watumishi wapatao 52 wakibadilishiwa miundo  yao ya kiutumishi.

Wakiongea kupitia kikao kazi kilichojumuisha watumishi wote wa wauma wilayani humo,wamesema  kumekwepo na changamoto ya watumishi waliomasomoni kutopandishwa madaraja licha ya kwenda  kwa  kufuata vigezo vyote.

Dosephu Ndalama mwenyekiti wa chama cha walimu wilayani humo, amesema wamekuwa  wakipata malalamiko kutoka kwa watumishi husani walimu ambao wamekuwa wakienda masomoni bila kupandishwa madaraja.

‘’utakuta mwalimu huyu alipokuwa  anaenda masomoni  alifuata taratibu zote lakini  inakuja  kushangaza pale wengine  wanapopandishwa  madaraja lakini  wao  wamekuwa wakishindwa  kupandishwa  sasa  hili  tuanaona  sio  haki hivyo tungependa kupata ufafanuzi  zaidi kuwa kwanini walimu hawa wapati nafasi’’alisema ndalama.

Aidha aliipongeza serikali kwa  jitihada zinazofanywa na serikali ya  wilaya hiyo hususani za kupandisha  madaraja  walimu pamoja  na  watumishi  wengine wote  kwa  ujumla.

‘’tunamkupongeza  sana mkurugezi  kwa kupandisha madaraja watumnishi na mpaka  sasa kuptia ofisi ya utumishi tumeambiwa kuwa watumishi wameanza kuchukua barua zao za kupandishwa madaraja kwa hilo tunakupongeza sana.’’alisema Ndalama.

Afisa utumishi wilayani humo Amandus Mtani amesema wamepata muongozo mpya kutoka serikalini unaolezea watumishi waliomasomoni kwa muda mrefu kuto pandindishwa madaraja.

‘’kuna muongozo mpya tumepewa  serikali ambao unaelezea watumishi waliomasomoni  kwa muda mrefu  kuto pandishwa madaraja’’alisema Mtani.

Mkurugenzi mtendaji wa hlmashauri ya Wilaya ya hiyo Msongela Mpalela, amewataka  watumishi wote kujenga mazoea ya kuchukuliana katika vituo vyao vya kazi kwa kuishi kwa amani bila migogoro kujitokeza.

‘’niwatake watumishi wangu jifunzeni kuchukulina hasa watumishi miliko huko ngazi za chin kwani mkifanya  hivyo  mtasiwisha  upendo  na amani kwenye  maeneo  yenu  ya kazi pia  lazima mkumbuke  kuwa si kila siku ni jumapili  kiongozi wako anaweza kukukasirisha kutokana na  matatizo ya  kifamilia hivyo  jifunzeni  kuchukulina’’.alisema Msongera.

Katibu tawala  wilayani humo Frank Sichalwe amewataka  watumishi  kuacha tabia ya kuruka ngazi  hususani wakati wa kutafuta  ufumbuzi wa matatizo yao kutoka kwa viongzi husika..

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.