• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Zaidi Ya Shilingi Milion 10 Zaokolewa Na Takukuru Wilayani Kalambo

Posted on: April 27th, 2020


Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Rukwa imefanikiwa kuokoa jumla ya shilingi 10,880,000/= kutoka kwa wadaiwa sugu ambao ni watendaji wa vijiji vya Kizombwe, Kalembe na Mkowe wilayani Kalambo baada ya kufanya ukaguzi kwenye maeneo ya Halmashauri hiyo.

  Kaimu mkuu wa Takukuru mkoani Rukwa Daniel Ntepa, alisema lengo ni kuhakikisha wadaiwa sugu wote wanarejesha fedha za serikali na kusema.

‘’Katika kipindi cha mwezi januari hadi Machi 2020 ,tulifanikiwa kuokoa jumla  ya fedha tsh 10,880,000 kutoka kwa wadaiwa sugu ambao ni watendaji wakusanyao mapato kwa njia ya POS katika Halmashauri ya Kalambo, ambapo kijiji cha Kizombwe tumeokoa tsh 520,000/=,kijiji cha Kalembe tumeokoa tsh 3,100,000/=, kijiji cha Sopa tumeokoa tsh 4,460,000/= na kijiji cha Mkowe tumeokoa tsh 2,700,000/=’’ .

  Hata hivyo katika hatua nyingine taasisi hiyo imefanya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya lami yenye umbali wa kilometa 2 kijiji cha Matai wilaya ya Kalambo uliyokuwa unatekelezwa na mkandarasi wa kampuni ya Grand tech Limited ya Dar es salaam baada ya kuingia mkataba na mratibu wa (TARURA)

‘’tarehe 4/3/2019 kwa- gharama ya tsh .899,755,000/=, mkandasi alipaswa kuanza kazi hiyo tarehe 19,3,2019, na kukamilisha kazi ndani ya kipindi cha mkataba na  aliomba muda wa nyongeza, ambapo alipewa muda mpaka tarehe 2,11,2019 ili amalize kazi, lakini hata ulipofika muda huo wa nyongeza mkandarasi alikuwa hajamaliza  kazi  na kuikabidhi kwa mwajiri  wake (TARURA)  wilaya  ya Kalambo’’

Alisema  kupitia  maombi ya malipo hayo ya tsh 121,584,828.44/=  ya  mkandasi katika interin payment certificate No 05, mwajiri (TARURA) alimkata mkandarasi  liquidated daimage ya tsh 53,985,300/=, kati ya fedha hizo alizoomba kwa  usimamizi wa TAKUKURU ambayo ni makato  ya kuanzia  tarehe 1/11/2019 hadi 1/1/2020 ambayo ni sawa na 0.1% ya gharama za mradi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.