• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Chama Cha Mapinduzi Ccm Kalambo Cha Ipongeza Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya Kwa kutoa Misaada.

Posted on: August 23rd, 2019


Chama cha mapindizi CCM wilayani Kalambo mkoani Rukwa kimeipongeza ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo kwa kutoa vifaa mbalimbali vya ujezi kwa ajili ya umaliziaji wa maboma pamoja na ukarabati wa majengo ya shule na zahanati .

Ofisi ya mkuu wa wilaya ya kalambo imekuwa na utaratibu wa kutoa misaada kila mwaka kulingana na uhitaji wa maeneo husika,ambapo kwa mwaka huu iilitoa vifaa vya ujezi ikiwemo bati na saruji na  kuwakabithi watendaji na madiwani kwa lengo la kusaidia umaliziaji wa majengo kwenye kata na vijiji  tofauti vilivyopo wilayani humo.

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM wilayani humo Alfred Mwanga amesema  kwa ujumla ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo nimekuwa ikijitahidi kwa kiwango kikubwa kutatua changamoto za wananchi  hususani maeneo ya vijijini.

‘’tunakupongeza kutoa misaada hii,lakini madiwani wapo, watendaji wapo,wenyeviti wa vijiji wapo  hivyo sitegemei kuona eti sikumoja unapewa  taarifa kuwa misaada ulitoa haikutumika vile inavyotakiwa na wakati wahusika wote wapo itakuwa ni majabu ‘’alisema Mwanga.

Mbali na hayo amelaani vikali kitendo cha baadhi ya viongozi kuto unga mkono jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya mungano waTanzania John Paombe Maghufuli  nakusema watu hao si  wema katika taifa hili.

Mkuu wa wilaya hiyo Julieth Binyura amewataka wananchi pamoja na  wachungaji  kuendelea kumuombea Rais Wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa kazi kubwa  anayo ifanya .

Hata hivyo kwa mwaka 2019 ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo imetoa  misada ya vifaa vya ujezi kwa mashirika ya dini,watu binafus pamoja na kwenye taasisi ya za serikali vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni tano.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.