• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

DC KALAMBO ATAKA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA KUFANYA UTALII WA NDANI.

Posted on: January 16th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa Dkt. Lazaro Komba amewataka Wananchi kujenga utamaduni wa kufanya utalii wa ndani ili kujifunza na kujionea mandhari yenye vivutio mbalimbali vilivyopo Wilayani humo ikiwemo maanguko ya maji ya Mto Kalambo ambayo ni ya pili kwa urefu barani Afrika kwa mita 235.

Ameyasema hayo wakati akikagua maandalizi ya Tamasha la Utalii lililopewa jina la KALAMBO FOREST UTALII FESTIVAL ambapo kwa ngazi ya Mkoa Tamasha hilo litafanyika tarehe 14/2/2026 katika eneo ya maanguko ya maji ya Mto Kalambo na kuongeza kuwa Tamasha hilo litaenda sambasamba na michezo ya riadha ikiwemo kukimbia mbio ndefu na fupi kuanzia km 2 hadi km 15 lengo likiwa ni kuimarisha viungo vya mwili na kudumisha umoja, mshikamano na utamaduni wa Wananchi wote.

Hata hivyo, amebainisha kuwa Tamasha hilo litaenda sambamba na mashindano ya ngoma na kuvitaka vikundi mbalimbali vya ngoma kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye mashindano hayo kwani yatahusisha utolewaji wa zawadi mbalimbali ikiwemo medani maalumu.

Kwa upande wake Kaimu Meneja wa TFS Wilayani humo ndugu Chesko Lunyungu,amesema maandalizi ya Tamasha hilo yamekamilika vizuri na kuwataka Wananchi na Watumishi wa Umma kujitokeza kwa wingi kushiriki mashindano hayo.

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • DC KALAMBO ATAKA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA KUFANYA UTALII WA NDANI.

    January 16, 2026
  • TAMASHA LA KUTANGAZA UTALII WA NDANI KALAMBO LA ANDALIWA.

    January 15, 2026
  • KALAMBO YAPOKEA TREKTA NDOGO ZA MKONO 11 KUNUFASHA WAKULIMA.

    January 13, 2026
  • DC KALAMBO AKABIDHI PIKIPIKI 3 KWA MAAFISA MIFUGO

    January 09, 2026
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.