• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Dc Binyura Amwagiza Mkurugenzi Kuharakisha Ujenzi Wa Kituo Cha Afya Samazi

Posted on: May 12th, 2020

KalamboMkuu wa wilaya ya Kalambo Julieth Binyura amemwagiza Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Msongela Palela kuharakisha ujenzi wa  kituo cha afya Samazi ili kuwawezesha akina mama wajawazito waishio maeneo hayo, wazee, pamoja na watoto kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wakati wa kusaka huduma za matibabu katika kituo cha afya Ngorotwa na Matai .

Akiongea baada ya kutembelea maendeleo ya ujenzi wa kituo cha afya Samazi, mkuu wa Wilaya hiyo Julieth Binyura, amesema utekelezaji wa ujenzi wa kituo hicho ni muhimu na umekuja kwa wakati muafaka kwani kata za Kisumba na Samazi hazina vituo vya afya na kwamba wananchi waishio katika maeneo hayo, wanapata adha kubwa kufuata huduma za afya mbali hasa baada ya kupewa rufaa.

 Kituo cha afya Samazi kilianza kujengwa mwezi may 2019 baada  ya  serikali  kutoa  fedha  kiasi  cha  shilingi milioni 400 ambazo  zingetakiwa  kujenga majengo matano kwa muda wa miezi mitatu na kukamilika, jambo ambalo halikuwezekana kufuatia mwamko mdogo wa wananchi kujitolea nguvu kazi na hivyo kupunguza idadi ya majengo na kuwa manne ambapo hivi sasa jumla ya majengo matatu pekee yako usawa wa lenta huku ujenzi ukiendelea kwa kasi kubwa.

Wakiongea kwa nyakati tofauti, wananchi waishio katika maeneo hayo, wamesema ni muhimu kituo hicho kika kamilika mapema kwani akina mama wajawazito, wazee na watoto wanasumbuka sana na wakati mwingine kupoteza maisha njiani wakifuata matibabu ya hali ya juu baada ya kushindikana kwenye ngazi ya zahanati za Kipanga, Samazi na Kafukoka.

  “kukamilika  kwa  kituo hiki kutasaidia kuokoa  maisha  ya  watoto wadogo  wenye  umri kuanzia sifuri kwani akina mama wengi wamekuwa wakisumbuka  sana pindi wanapo pata rufaa ya kwenda kujifungua katika kituo cha afya  Ngorotwa na Matai ambavyo vyote viko umbali wa Zaidi ya km 38 hadi 78.’’ Walisema wananchi hao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.