• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Dc Komba Ataka Wanaokwamisha Masomo Ya Wanafunzi Kuchukuliwa Hatua Za Kisheria.

Posted on: June 17th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Dkt Lazaro Komba amewaagiza viongozi wa serikali za vijiji kuwachukulia hatua kali za kisheria ikiwemo kuwafikisha kwenye vyombo vya dola wazazi na walezi wanao kwamisha masomo ya watoto kwa kuwaozesha na kuwapeleka kwenye shughuli za kuchunga mifugo.

Ameyasema hayo kupitia maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika ambayo kwa ngazi ya mkoa yamefanyika katika kijiji cha Msanzi wilayani humo na kusisitiza wanajamii wenye taarifa au ushahidi kuhusiana na watoto ambao haki zao zimekiukwa na wazazi au walezi kutoa taarifa kwenye vyombo vya dola ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa dhidi yao.

Licha ya hilo alizitaka serikali za mitaa kushirikiana na jeshi la polisi katika kuwatafuta wazazi ,walezi au ndugu wa watoto wanao watelekeza watoto na kusisitiza jamii kuwa sehemu ya kuwalinda watoto kwa kuwazuia kushiriki kwenye michezo ambayo inaweza kusababisha vitendo viovu kufanyika ikiwemo kwenye vibanda vya kuonyesha sinema.

Aidha alizitaka taasisi na jamii kuitikia wito wa serikali katika swala la ujenzi wa mabweni katika shule za sekondari ili kusaidia ulinzi kwa watoto na kwamba hatua hiyo itasaidia watoto kutimiza ndoto zao na kufikia malengo yao.

Baadhi ya walimu mkoani humo wametumia fursa hiyo kuishauri serikali kuona uwezekano wa kuwekeza kwa watoto wenye uhitaji maalumu kwa kuongeza vifaa vya kufundishia na kujifunzia hatua itakayo saidia kuongeza ufaulu na kufikia malengo yao ya baadaye.

Maadhimisho  ya siku ya mtoto wa afrika  hufanyika kila ifikapo Juni 16 ya kila mwaka huku yakiwa  na lengo la kukumbuka mauaji ya watoto 176 ambao waliuwawa wakati wakidai haki za kutobaguliwa pamoja na kupata elimu bora na kupinga mifumo ya elimu ya kibaguzi iliyoku wepo wakati huo chini ya utawala wa ubaguzi wa rangi wa kikaburu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.