• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

Posted on: March 15th, 2025

Wajumbe wa kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) mkoani Rukwa, wamepitisha mapendekezo ya kuligawa jimbo la uchaguzi la Kwela katika wilaya ya Sumbawanga kutokana na kuwa na vigezo vyote ikiwemo idadi kubwa ya watu, hali ya kiuchumi na mipaka ya kiutawala.

Kaimu katibu tawala mkoani humo Donald Nssoko kupitia kikao cha kawaida (maalumu) cha kamati ya maendeleo ya mkoa (RCC), amesema walipokea mapendekezo kutoka kwa mkurugenzi wa Halmashauri ya Sumbawanga baada ya kukaa vikao vya maamuzi ikiwemo baraza la madiwani ambavyo vilipendekeza kugawanywa kwa jimbo hilo.

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mhe Makongoro Nyerere, amesema mgawanyo huo unahusisha eneo la Ufipa ya juu linaloundwa na tarafa mbili ikiwemo tarafa ya Mpui na Laela lenye kata 14, vijiji 49 na vitongoji 261 ambalo lilipendekezwa kuwa jimbo la Kwela. Kwa upande eneo la ufipa ya chini Bonde la ziwa Rukwa yenye tarafa mbili, kata 13, vijiji 25 na vitongoji 225 lilipendekezwa kuwa jimbo jipya la Mtowisa na kwamba wajumbe wameridhia mapendekezo ya kugawanywa kwa jimbo hilo.

Hata hivyo tangazo lililotolewa na tume ya uchaguzi Februari 26, 2025 lilieleza kuwa vigezo vitakavyo tumika katika kugawanya majimbo ni wastani wa idadi ya watu, ambapo kwa majimbo ya mjini ni watu 600,000 na majimbo ya vijijini nikuanzia wastani wa watu 400,000,huku takwimu zitazotumika ni za sensa ya watu na mkazi ya mwaka 2022. Ambapo jimbo la kwela limekidhi vigezo hivyo kutokana na kuwa na idadi ya watu 494,330, hali nzuri ya kiuchumi na mipaka ya kiutawala,

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.