• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Kandege Ataka Wanaokwamisha Ujenzi Wa Kituo Cha Afya Samazi Kuchukuliwa Hatua.

Posted on: February 3rd, 2020


NAIBU waziri wa wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa(TAMISEM),Josephat Kandege amewaagiza maofisa watendaji wa serikali waliopo kata ya Samazi wilayani Kalambo mkoani Rukwa kuwachukulia hatua za kisheria baadhi ya mafundi wanaodaiwa kukwamisha ujenzi wa kituo cha afya Samazi kilichopo wilayani Kalambo.

Agizo hilo alilitoa mwishoni mwa wiki wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi na kutembelea eneo ambalo ujenzi wa kituo hicho unafanyika na kupewa taarifa kuwa kuna baadhi ya mafundi wamekuwa kikwazo cha maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho cha afya kwa kugoma kufanya kazi kwa madai kuwa fedha wanazopata kutokana na malipo ya kazi hiyo ni kidogo.

Naibu waziri huyo,Kandege ambaye pia ni mbunge wa Jimbo hilo la Kalambo alisema kuwa tayari wananchi wa jimbo hilo wamekwisha kubaliana kuwa yeyote atakaye kwamisha ujenzi wa kituo hicho cha afya nilazima achukuliwe hatua,ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwani hata sheria zinaruhusu kufanya hivyo.

Alisema kuwa ni vizuri kila mwananchi akashiriki kikamilifu katika ujenzi huo wa kituo cha afya kwani kutatatua changamoto zinazo wakabiri za kutembea umbali mrefu kwaajili ya kutafuta huduma za afya.

Kwaupande wake mhandisi wa Halmashauri hiyo,Daud Sebiga alisema kuwa ujenzi wa kituo hicho cha afya cha Kata ya Samazi kinatarajiwa kukamilika ndani ya siku 90.

Alisema kuwa mpaka hivi sasa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo imekwisha pokea fedha kiasi cha shilingi milioni 400 kutoka serikali kuu ambazo zitatumika kukamilisha ujenzi ndani ya siku 90 wa majengo matatu ambayo yatatumika katika kituo hicho cha afya.

Naye Juma Kibongwe diwani wa Kata ya Samazi aliishukuru serikali kwaniaba ya wananchi wa kata hiyo kwa kutoa fedha hizo ambapo ujenzi wa kituo hicho cha afya utakapo kuwa umekamilika utawaondolea kero wanazokutana nazo pindi wanapokuwa wagojwa.

Ujenzi wa kituo  cha afya Samazi uilitakiwa kunza June 2019 baada ya serikali kutoa shilingi milioni 400 kwaajili ya ujenzi huo,lakini umekuwa ukisua sua kutokana na kuibuka kwa mvutano wa eneo gani kijengwe na kukubalina  kujenga  katika  eneo la zahanati .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.