• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

WANANCHI KALAMBO WATAKIWA KUZINGATIA MUDA WAKATI WA ZOEZI LA UCHAGUZI.

Posted on: October 20th, 2025

Wananchi Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa wametakiwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wakati wa zoezi la upigaji kura ikiwemo kuwahi kwenye vituo vya kupigia kura kwa lengo la kutimiza haki yao ya kikatiba kwa kuchagua Viongozi wanao wataka kwa maslahi ya jamii na Taifa kwa ujumla.

 Hayo yamebainishwa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kalambo ndugu Erasto Mwasanga na kusema vituo vya kupigia kura vitafunguliwa saa moja kamili (1:00) asubuhi hadi saa kumi kamili alasiri na kwamba vituo vilivyopo maeneo ya Magereza na Vyuo vya Ufundi vitafunguliwa saa mbili kamili (2:00) asubuhi na vitafungwa saa tisa kamili (9:00) alasiri.

Aidha, amesema Wasimamizi wa Vituo, Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo, Makarani, waongoaji wapiga kura na walinzi wa vituo watafika eneo la vituo kabla ya saa kumi na mbili (12:00) asubuhi kwa ajili ya maandalizi.

Kwa upande wake Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Ndugu Laurent Kapimpiti ameongeza kuwa watu waliopo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura wenye kadi ya mpiga kura ndio watakao ruhusuiwa kupiga kura.

‘’tume inaweza kuruhusu wapiga kura ambao kadi zao zimepotea kupiga kura kwa kutumia utambulisho mwingine. Wapiga kura hao lazima wawe wameandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura’’. Alisema Kapimpiti.

 Baadhi ya Wananchi Wilayani humo wamesema watajitokeza kwa wingi ili kupiga kura kwa lengo la kutimiza haki yao ya kikatiba katika kuwachagua viongozi bora na wanao wataka.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WANANCHI KALAMBO WATAKIWA KUZINGATIA MUDA WAKATI WA ZOEZI LA UCHAGUZI.

    October 20, 2025
  • WATU 157,253 KUPIGA KURA OKTOBA 2025 JIMBO LA KALAMBO.

    October 19, 2025
  • WAKULIMA KALAMBO WATAKIWA KUTUMIA MBOLEA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAZAO YA NAFAKA.

    October 15, 2025
  • WANANCHI KALAMBO WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA MAGOJWA YA MILIPUKO.

    October 09, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.