• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mahakama Ya Wilaya Ya Kalambo Yafanikiwa Kusajili Mashauri 216 Kwa Mwaka 2022

Posted on: February 2nd, 2023

Mahakama ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa mwaka 2022 imefanikiwa kusajiri mashauri 216 na kumaliza mashauri 184 huku mashauri  32 yakishindwa kumalizwa kutokana na changamoto mbalimbali

Hakimu mfawidhi  mkazi wa Mahakam ya wilaya ya kalambo  kupitia kilele cha madhimisho ya siku ya sheria, Nikson Tem, amesema kwa mwaka  jana Mahakama zilifanikiwa kusajiri mashauri 375 na kumaliza mashauri 367 na kubakiza mashauri 8 na kwamba idadi hiyo ni pamoja na Mahakama za mwanzo

‘’maadhimisho ya siku ya sheria nchini huambatana na kauli mbiu au maudhui na kwamaka huu kauli mbiu yeu ni umuhimu wa utatuzi wa migogoro kwa njia ya usuluhishi katika kukuza uchumi endelevu ;wajibu wa mahakama  na wadau’’  alisema Tem

Alisema kauli mbiu hiyo imebeba ujumbe mahususi kuhusu wajibu wa mahakama na wadau wake katika kutumia njia ya usuruhishi katika kutatua migogoro kwa lengo la kukuza uchumi endelevu

Mapema kiongea kupitia maadhimisho hayo wakili wa serikali  Marietha  Maguta , aliwakikishia wananchi  na wadau wa sheria kuwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali  itaendelea kusimamia  kwa karibu maelekezo  yaliotolewa na kutoa kipaumbele chs kumaliza migogoro kwa njia ya maridhiano

‘’msisitizo wa utatuzi wa migogoro kwa njia ya mbadara na uikilizwaji wa mashauri kwa njia ya za kimahakama kama ulivyowekewa msingi imara kwenye sheria zetu unahitaji kuwekwa mazingira rafiki ,jambo ambalo pia limekuwa likihimizwa sehemu mbalimbali duniani’’ alisema Malietha

Kwa upande wake Deogratus Sanga , alisema  TLC imejiwekea mkakati wa kuanzisha kituo cha cha kimataifa cha usuluhishi wa migogoro kwa kushirikina na wizara ya katiba na sheria ambacho kitaiweka Tanzania katika ramani ya Afrika na dunia kwa kutekeleza dhana ya kutatua migogoro ya kibiashara za kimataifa nay a wawekezaji kwa njia ya suluhu

Hata hivyo, Tanzania ni muhimili ulioanzshwa na katiba ya Jamhuri ya mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ambayo inatoa mamlaka kwa mahakama kuwa chombo cha kutoa haki kwa wakati na kwa wananachi wote

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.