• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mtoto Wa Mika 3 Afariki Dunia Baada Ya Kumbukia Kisimani.

Posted on: October 23rd, 2019
  • Wananchi katika kata za lyowa na Matai wilayani kalambo Mkoani Rukwa wameiomba serikali kuingilia kati swala la uchimbaji holela wa visima vya maji ambavyo vimekuwa vikichimbwa bila utaratibu na kusababisha vifo vya watoto wadogo kutokana na kuachwa wazi.

  Malalamiko hayo yamejitokeza baada ya kujitokeza kifo cha mtoto Jift  Msangawale mwenye umri wa mika 3 mkazi wa  kijiji  cha Keleni kata ya Lyowa wilayani Kalambo kufariki dunia baada ya kuzama ndani ya kisima cha maji kilichokuwa  kimechimbwa kwa ajili ya kuendeshea shughuli za umwagiliaji wa  busitani za mboga mboga.

‘’tunaiomba serikali kuingilia  kati  swala la watu ambao wamekuwa wakichimba visima bila kufuata  utaratibu kwani waliowengi wanachimba visima na kuviacha wazi na hivyo kupelekea watoto wetu kuzama’’wamesisitiza wananchi  hao.

Mwenyekiti wa kitongoji cha Keleni Linus leopadi,amesema baada ya kupata  taarifa hizo alitoa taarifa polisi ambao walifika eneo la tukio na kufanya  uchunguzi  kisha  kuwaruhusu kufanya  mazishi.

Afisa tarafa ya Matai Muhamed Shauri amekili wazi kutokea tukio hilo na kuwataka wananchi kuhakikisha visima vyao vinafunikwa mara baada ya  kuchimbwa.

‘’mtoto huyo alifariki dunia baada ya kudumbukia kisimani,ambapo kufutitia tukio hilo kama serikali tulitoa maagizo kwa watendaji wa serikali za vijiji na kata  kuhakikisha visima vyote vinavyochimbwa vinafunikwa ili kuepukana na kujirudia kwa matukio kama hayo’’.alisisitiza muhamed shauri.

Hata hivyo hilo ni tukio la pili  kujitokeza katika  maeneo  hayo ambapo tukio la  kwanza watoto  wawili walifariki dunia baada ya kuzama kwenye kisima kisha  kufariki dunia  katika kata ya Matai.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.