• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Naibu Waziri Kandege Atoa Misaada Ya Vifaa Tiba Na Gari la Wagonjwa

Posted on: May 8th, 2020


Naibu waziri ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) Josephat Kandege ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Kalambo mkoani Rukwa kuhakikisha fedha pamoja na vifaa tiba vilivyotolewa na serikali na kugawiwa  kwenye vituo vya afya,vinatumika kwa melengo yaliyokusudiwa.

Ameyasema hayo wakati akitoa  misaada ya vitanda  pamoja na kukabidhi  gari ya wagonjwa katika kituo cha afya Matai wilayani  Kalambo mkoani  Rukwa, ambapo ameutaka uongozi wa Halmashauri hiyo kuhakikisha vifaa vilivyotolewa na serikali ikiwemo gari vinatumika katika malengo yalikusudiwa.

Amesema serikali haita mfumbia macho mtu au watu ambao  watabainika  kufuja mali za umma kwa  kuingiza maslahi  yao binafsi.

Awali akisoma taarifa fupi mbele ya kiongozi huyo, mganga  mkuu wa Halmashauri hiyo Alen Mlekwa, alisema  Halmashauri  ina jumla ya vituo vya afya 3 na zahanati 64  lakini  inakabiliwa  na  changamoto  mbalimbali  ikiwemo upungufu  wa vyombo vya usafiri  magari, boti ikiwa ni pamoja  na upungufu wa vifaa tiba na watumishi wa idara ya afya.

“umekuwa msaada mkubwa katika halmashauri hii na jimbo lako katika  kuboresha huduma za afya, mwaka 2019 kwa kuunga mkono juhudi za huduma za afya ulitoa vifaa mbalimbali ikiwemo vitanda vya wagonjwa 6, taulo 10 kwa ajili  ya akina mama wajawazito  seti za  kumsaidia mama wakati wa kujifungua na vitambaa roll 5. Vilevile kupitia juhudi zako  umetoa gari jipya la wagonjwa ambalo umetukabidhi hii leo.’’Alisema  Mlekwa.

Kaimu mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Nicholas Mrango ,alisema huduma zinazo tolewa katika  kituo cha afya Matai ni pamoja  na huduma ya wagonjwa wa nje yaani OPD na katika vituo vyote vya wagojwa hulazwa katika vituo 3 vya afya IPD na kusema kwa upande  wa dharula kwa akina mama wajawazito hutolewa katika ngazi zote za zahanati na vituo vya afya.

Mkuu  wa  wilaya ya Kalambo Julieth Binyura aliwasihi  wahudumu  wa  afya wilayani humo kuendelea kuwahudumia wananchi  kwa moyo wote na huku akiwasisitiza kutoa taarifakunapotokea changamoto  ya  kiutendaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.